Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

*BOSS CHOMOA MIMI SIO JAMANI* *14&15*  Mamdogo alitukaribisha vizuri sana yaani, tena alituchangamkia mno na mama
Gonga94 · Stories

*BOSS CHOMOA MIMI SIO JAMANI* *14&15* Mamdogo alitukaribisha vizuri sana yaani, tena alituchangamkia mno na mama

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
mdogo hanaga mtoto kwahyo sisi toka wazazi wetu wamefariki huyu ndio ametulea kwa uzuri japo kwa shida kwa kuwa maisha yake sio mazuri yaani tunachoshukuru ni wale wafadhali tu mhh bila hivyoo hapana kingetulamba tusingefika hapa tulipo na Marquis tayari alihadithiwa kila kitu na kila jambo kuhusu sisi binafsi toka wadogo mpaka tulipofikia kwa hapa tupo watu wazima * Mama naweza kusema samahani, pole na asante pia kwa kunikuzia huyu mfanyakazi wangu bora na huyu mke wangu mtarajiwa, kwa maana nataka nikienda huko safarini nikirudi nakuaj kumuoa kabisa sitaki kumpoteza huyu ni wa thamani sana kwangu nampenda sana huyu mwanao mama" alisema Marquis

"Sawa baba ila nina swali mimi siwezi kukupa binti yangu japo nimekubali na nimekushukuru kabisa kwa huu msaada wako mkubwa sana ila baba yangu licha ya kwamba wewe ndio boss wa binti yangu na mume mtarajiwa wa binti yangu pia kama ulivyojieleza sas hatukujul ulipotoka wazazi wako na wewe binafsi sasa ntakupaje binti yangu?" Alisema mama mdogo muda huo Catherine akadakia "au mwenzetu unajuaa eeh mambo ya shem darling nilicheka. tu maan hili ni lijinga linaropoka tu wakati wote yaani sijui yupoje huyu dada yangu kha, hee kumbe hujui mhhh mazitoo utaolewa na majini we haya" nilitabasamu tu maan alinichekesha sana huyu maaan kaongea kwa sauti wote tumesikia yaani Catherine hapana mpaka mama mdogo alimchamba " hebu wee kuwa na staha huoni mgeni yaani jamani wewe upo tofauti kabisa na mwenzioo nilibaki namtizama tu huyu mdada

"Sawa mama mimi naitwa Marquis Methew kwetu tupo watatu mimi na dada zangu ila wazazi wangu wapo Arusha kwa sasa japo baba ndio yupo South Africa kikazi mimi ndio mkubwa na wa pili mdogo angu wa kike anaitwa Grace na huyu wa mwisho anaitwa Groly wote wanasoma nje ya nchi na mimi nipo hapa kikazi nina miaka 36 kwa sasa ilaa.... ndio hivyoo nikama kuna kitu alitaka kusema akatulia kimya nilishtuka jamani mimi nina miaka yangu 25 japo sio mkubwa sana ila 36 kwangu niliona parefu, mama mdogo alituruhusu tukaondoka zetu ila alimuachia card incase kam kuna shida itatokea ajimudu na kuna maelekezo alimpa dada sikujua ni maelekezo gani ila alimpa dada, tulipanda. ndege kuelekea huko nchi za watu wa India kwa ajili ya matibabu yangu tulitumia passport ya dada kukata ticket yani kwasabbu mimi sina passport na dada alipata kwasababu pale officine kwako huwezi anza kazi kam huna passport

Tulichukua siku mbili kufika maan tulipanda kutoka hala tz tuakenda Ethiopia kisha ndio tukachukua ndege mpaka India tulifikia hotelini tulikaa kam siku mbili maan ya tatu ndio tulipangiwa ratiba ya matibabu yangu mimi, hii siku nilikuwa na wasi wasi mnoo nilikuwa najua naenda kupasuliwa tu mimi nakufa sina jinsi tena ya kuishi maan wanaenda kuuchezea moyo Marquis alijaribu kuniweka sawa lakini hil haikusaidia kitu kwangu nilikuaa mwenye wasi wasi mno

"Marquis naomba tufanye kidogo tu maaana nahisi hii siku ndio itakuwa pengine ndio ya mwisho wa mimi na wewe kuonana" alinitizama kwa huruma kweli, akanishika mkono usijali mke wangu utakaa sawa sawa mwana mke wangu, nilimuomba san tufanye, nakumbuak hamna siku noshawahi muomba kam hii siku niliomba sana" usijali mke wangu ukimaliza operation nitakupa unachotaka mke wangu sio vizuri kesho unaingia kwenye operation halafu unafanya s*x leo sio salam tena kwa operation ya moyo haifai kabisa mpenzi wangu" nilikubali nikaamua kulala nimemkumbatiaa maan nilikuwa nina wasi wasi mno, sijwahi kuwa na

nikaamua kulala nimemkumba nilikuwa nina wasi wasi mno sijw. wasi wasi kiasi hiki, usingizi has nimekuja kualala saa 11 alfajiri yaan nashngaa naaamshwa nijiandaee siku yenyewe maalum imefika sasa

Itaendelea....

Maoni

You're not logged in


Tangazo - MY Wangu season one, season two, season 3, season 4 and season 5 final
MY Wangu season one, season two, season 3, season 4 and season 5 final
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

*BOSS CHOMOA MIMI SIO JAMANI* *14&15* Mamdogo alitukaribisha vizuri sana yaani, tena alituchangamkia mno na mama

mdogo hanaga mtoto kwahyo sisi toka wazazi wetu wamefariki huyu ndio ametulea kwa uzuri japo kwa shida kwa kuwa maisha yake sio mazuri yaani tunachoshukuru ni wale wafadhali tu mhh bila hivyoo hapana kingetulamba tusingefika hapa tulipo na Marquis tayari alihadithiwa kila kitu na kila jambo kuhusu sisi binafsi toka wadogo mpaka tulipofikia kwa hapa tupo watu wazima * Mama naweza kusema samahani, pole na asante pia kwa kunikuzia huyu mfanyakazi wangu bora na huyu mke wangu mtarajiwa, kwa maana nataka nikienda huko safarini nikirudi nakuaj kumuoa kabisa sitaki kumpoteza huyu ni wa thamani sana kwangu nampenda sana huyu...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/boss-chomoa-mimi-sio-jamani-14-15-mamdogo-alitukaribisha-vizuri-sana-yaani-tena-alituchangamkia-mno-

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi boss-chomoa-mimi-sio-jamani
*BOSS CHOMOA MIMI SIO JAMANI* *     Chapter 17   "Careen kuna kitu cha muhumu sana nataka nikwambie" nilimtizama
*BOSS CHOMOA MIMI SIO JAMANI* * Chapter 17 "Careen kuna kitu cha muhumu sana nataka nikwambie" nilimtizama
 *BOSS CHOMOA MIMI SIO JAMANI* *   Chapter 19&20  Tulivyokuwa wenyew nilimfuata mume wangu na kumkumbatia nikamuuliza mume
*BOSS CHOMOA MIMI SIO JAMANI* * Chapter 19&20 Tulivyokuwa wenyew nilimfuata mume wangu na kumkumbatia nikamuuliza mume
*BOSS CHOMOA MIMI SIO JAMANI* * .Chapter 18  Nulirudi Tanzania kwetu Salama salimini nilimpigia dada nilipokuwa air port, alikuja kunipokea na gari mhh
*BOSS CHOMOA MIMI SIO JAMANI* * .Chapter 18 Nulirudi Tanzania kwetu Salama salimini nilimpigia dada nilipokuwa air port, alikuja kunipokea na gari mhh
*BOSS CHOMOA MIMI SIO JAMANI* *      Chapter 10  "Hhh hamna nimechanganyikiwa tu kwani huyu shida nini etty Catherine?" Aliniuliza mimi nilikuwa
*BOSS CHOMOA MIMI SIO JAMANI* * Chapter 10 "Hhh hamna nimechanganyikiwa tu kwani huyu shida nini etty Catherine?" Aliniuliza mimi nilikuwa
*BOSS CHOMOA MIMI SIO JAMANI* * *SEHEMU YA KUMI NA SITA*  Nilikuwa nina wasi wasi isivyo kawaida yaani ilibidi kwanza kabisa sijaingia theatre kwanza ilibidi niende kwenye chumba cha...
*BOSS CHOMOA MIMI SIO JAMANI* * *SEHEMU YA KUMI NA SITA* Nilikuwa nina wasi wasi isivyo kawaida yaani ilibidi kwanza kabisa sijaingia theatre kwanza ilibidi niende kwenye chumba cha...
*BOSS CHOMOA MIMI SIO JAMANI* .Chapter 12  "Unatakiwa utibiwe haraka yaani huo mshtuko ambao umeupata utakupa shida
*BOSS CHOMOA MIMI SIO JAMANI* .Chapter 12 "Unatakiwa utibiwe haraka yaani huo mshtuko ambao umeupata utakupa shida
*BOSS CHOMOA MIMI SIO JAMANI* * Chapter 9  Asubuhi ilifika ila chaa ajabu najiona naamka nipo hospitali
*BOSS CHOMOA MIMI SIO JAMANI* * Chapter 9 Asubuhi ilifika ila chaa ajabu najiona naamka nipo hospitali
*BOSS CHOMOA MIMI SIO JAMANI* *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*  "Mwanamke wako kwahyo usiniambie umetembeaa na Careen?
*BOSS CHOMOA MIMI SIO JAMANI* *SEHEMU YA KUMI NA MOJA* "Mwanamke wako kwahyo usiniambie umetembeaa na Careen?
*BOSS CHOMOA MIMI SIO JAMANI* Chapter 13  Search  "Hee shga angu ndio umeamua kutoka na boss mhh we kiboko mwenzangu kwanza
*BOSS CHOMOA MIMI SIO JAMANI* Chapter 13 Search "Hee shga angu ndio umeamua kutoka na boss mhh we kiboko mwenzangu kwanza
*BOSS CHOMOA MIMI SIO JAMANI* * Chapter 7  "Hamna mama yangu sifanyi tena Catherine ila naomba nikuogeshe"
*BOSS CHOMOA MIMI SIO JAMANI* * Chapter 7 "Hamna mama yangu sifanyi tena Catherine ila naomba nikuogeshe"
*BOSS CHOMOA MIMI SIO JAMANI* * Chapter 8  "Unafanana sauti na dad yako, sema yey anaongea sana, inaonekana kwenu ndio mlivyo maan hata Catherine ulikuwa mkorofi siku ya kwanza
*BOSS CHOMOA MIMI SIO JAMANI* * Chapter 8 "Unafanana sauti na dad yako, sema yey anaongea sana, inaonekana kwenu ndio mlivyo maan hata Catherine ulikuwa mkorofi siku ya kwanza
*BOSS CHOMOA MIMI SIO JAMANI* * *6  * *SEHEMU YA SITA* Aliongeza kunipa juice hapo mwili unavibrate balaa jamni huyu boss sijui anataka nini jamani kunipatia dhambi tu mimi...
*BOSS CHOMOA MIMI SIO JAMANI* * *6 * *SEHEMU YA SITA* Aliongeza kunipa juice hapo mwili unavibrate balaa jamni huyu boss sijui anataka nini jamani kunipatia dhambi tu mimi...
*BOSS CHOMOA MIMI SIO JAMANI* *1-5* *_______________________________________*  *SEHEMU YA KWANZA*  "Haya leo unaenda officine kupitia jina langu, mimi nina dharura bhana ujuee ohoo yule Boss
*BOSS CHOMOA MIMI SIO JAMANI* *1-5* *_______________________________________* *SEHEMU YA KWANZA* "Haya leo unaenda officine kupitia jina langu, mimi nina dharura bhana ujuee ohoo yule Boss
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AAAAASH BOSS ENZO* *16&17*

AAAAASH BOSS ENZO* *16&17*

577
AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMI NANE*

AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMI NANE*

507
AAAAASH BOSS ENZO*    *SEHEMU YA KUMU NA TISA*

AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMU NA TISA*

256
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 17

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 17

254
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 18

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 18

234
WEWE NI WANGU    SEHEMU YA 19

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 19

232
REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NANE*

REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NANE*

224
REALLY LOVE* *29&30*

REALLY LOVE* *29&30*

160
SHAMIRA 1 mpk 7.

SHAMIRA 1 mpk 7.

112
WEWE NI WANGU   SEHEMU YA 21

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 21

100

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.3K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.05K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.72K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.15K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.55K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.44K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.36K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.35K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.29K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.2K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
PENZI LA OMBA OMBA😍❤️😍❤️😍❤️ Sehemu ya 11 Post Mpya
PENZI LA OMBA OMBA😍❤️😍❤️😍❤️ Sehemu ya 11
@majario LIVE

“hivi una shida gani wewe, kwanin I hutaki kuniona na mm ninafuraha, kwann hutaki mimi niwe na mahusiano lakin shureymu, nikaanza kulalamika… “ mm sijakuzuia kuwa na mahusiano ila Yule...

PENZI LA OMBA OMBA 10 Post Mpya
PENZI LA OMBA OMBA 10
@majario LIVE

“ zamu yako kufanya nini, maana siku hizi umekuja na tabia sizielewi kabisa, nikasema, akaniangalia kisha akacheka na kusema “ najua wewe huelewag ila usijal mdogo mdogo utaelewa...

PENZI LA OMBA OMBA😍❤️😍❤️😍❤️ Sehemu ya 09 Post Mpya
PENZI LA OMBA OMBA😍❤️😍❤️😍❤️ Sehemu ya 09
@majario LIVE

KIUKWELI nilishangaa sana, kwa maana sikujua ni kitu gani kilikuwa kimempa hasira shureymu kiasi chote kile, kuna muda nikawa nahisi labda simtendei anayoyataka vizuri, sijui hata nilikuwa na wasiwasi...

PENZI LA OMBA OMBA😍❤️😍❤️😍❤️ Sehemu ya 08 Post Mpya
PENZI LA OMBA OMBA😍❤️😍❤️😍❤️ Sehemu ya 08
@majario LIVE

Nilishangaa sana anashida gani, kwa maana alishasema mara kadhaa kuwa hawez kuwa na mahusiano na mimi na kila dakika ni warda, warda, sasa mbona yuko kama ananionea wivu hivi…. Bsikutaka kuendelea...

*PENZI LA OMBA OMBA* *1&7* Post Mpya
*PENZI LA OMBA OMBA* *1&7*
@majario LIVE

*__________________________________* *SEHEMU YA KWANZA* Sio kila unaemkuta anaomba amependa, na sio kila omba omba ni mvivu na hataki kufanya kazi, muda mwingine huwa tunakosa namna ya kufanya ndio maana tunaomba, ni...

SHAMIRA sehemu ya 13&14 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 13&14
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Kiukweli uyu baba alikuwa anajua kunipemdezesha mana pesa alikuwa ananipa mno. Na Nilipendeza sana nikawa navaa vitu vya bei nawaka mda wote sina shida ndogo...

Robert Carmona ndiye mwanasoka mkongwe zaidi anayecheza soka... Post Mpya
Robert Carmona ndiye mwanasoka mkongwe zaidi anayecheza soka...
@majario LIVE

Ana umri wa miaka 63 na anacheza safu ya ulinzi, alianza kucheza mpira mnamo mwaka 1976 na amechezea zaidi ya vilabu 30 Kwa sasa anachezea Klabu ya Liffa ya Uruguay inayoshiriki...

FROM BANGI TO BABY 💞💘  SEHEMU YA 10 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 10
@majario LIVE

Veda huyu akatokeza nilikwepa macho fastaaa nikaangalia mbinguu, Tinner akanambia kwa sauti ya chiniii "Kumbe shem sio haba nilikuwa sijamzingatia tu bonge la mwanaume jamani "Nikashindwa kuvumilia ila nikajikaza kuchekaa sikujibu kitu...

WEWE NI WANGU   SEHEMU YA 21 Post Mpya
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 21
@majario LIVE

SONGA NAYO........ Hatimae mke wangu alijifungua baby boy, 🥰 nyieeh hivi mnajua nilikuwa na furaha kiasi gani eeh yani iku hii mwanaume nilifanya kaazi mpaka ambazo nilikuwa sifanyi. Kwanza niliingia jikoni nikapika...

AAAAASH BOSS ENZO*    *SEHEMU YA KUMU NA TISA* Post Mpya
AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMU NA TISA*
@majario LIVE

Ishani Mimi nililia sana, lakini safari hii nililia tu kimya kimya sikutaka kusumbua watu wengine kwaajili ya matatizo yangu binafsi ambayo kwa Namna Moja au nyingine nilijitakia Mimi Mwenyewe Baba ya...

REALLY LOVE* *29&30* Post Mpya
REALLY LOVE* *29&30*
@majario LIVE

*mbona hupokei simu nani huyo anayepiga aliuliza fahima baad ya kuona seven anaingalia. tu simu bila kupokea sevan si nakuuliza nani huyo alisema fahima ni cathe na sijui anataka nini tena kwangu"...

REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NANE* Post Mpya
REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NANE*
@majario LIVE

cathe alisogea mpaka walipo hapo alishindwa hata kusalimia kiukweli alichanganyikiwa sana hakujua nini hatma ya maisha yake, ""kaa hapo" alisema baba cathe, nae cathe akaketi kwenye kiti ""baba yako amekuja kukuchukua cathe...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 10. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 10.
@majario LIVE

Kipande cha 10 🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼 Mwandishi; lissa wa huru media Basi jioni sana taratibu nikaludi zangu home.. mnazani iyo simu niliiiacha kwa adrian wala sio kweli mimi simu wala sikuiacha. Nikaludi nayo...

NILILETEWA MFANYAKAZI KUTOKA KIJIJINI 1--2 Post Mpya
NILILETEWA MFANYAKAZI KUTOKA KIJIJINI 1--2
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 ANZA NAYO SASA....... Ndugu zangu, dada zangu mama zangu na watu wangu kwa ujumla kwanza kabisa nianze na funzo hasa hasa kwa hawa wanawake wanaopenda sana wadada wa kazi Jamni...

WEWE NI WANGU    SEHEMU YA 19 Post Mpya
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 19
@majario LIVE

SONGA NAYO...... Muda ulienda na sikupata wasaa wa kuzungumza na mama maana alikuwa hataki kusikia chochote kutoka kwangu, so niliona nimsubiri dada yeye ndie anaweza kuwa msaaada wangu Hatiame muda wa dada...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest