Kongole Wananchi @yangasc kwa kutwaa ubingwa wa Kombe la Shirikisho.
Mechi ya fainali imekuwa ya viwango vinavyostahili. Kongole @singidablackstarssc kwa kutoa changamoto kubwa kwa Mabingwa licha ya kupoteza kwa 2-0.
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa + Endelea kugundua zaidi
Maoni