Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MIMBA YA DHARURA 4
Gonga94 · Stories

MIMBA YA DHARURA 4

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.


Nadia alijifungia chumbani kwake, moyo wake ukiwa na shauku ya kutaka kujua kwenye ile barua kimetandikwa nini.
Alipofika alichukua begi lake akatoa ile barua
alikaa kitandani akafungua ile barua na kuangalia macho yake yalikuwa na hofu pia alikuwa na hamu ya kujua yaliyomo. Kwa sekunde kadhaa aliitazama tu, alishusha pumzi kwa nguvu kisha
Akaanza kusoma:

"Nadia,
Samahani kwa kile kilichotokea. Najua nilikuvunja, niliharibu kitu kisichostahili kuharibiwa ila ni maalumu kwa mtu aliyedhamiria kufanya hivyo.
na kila dakika inayopita moyo wangu unaniuma zaidi Sikukusudia. Usidhani kuwa nilikuchukulia kama mwanamke wa kawaida, la hasha, wewe ni tofauti, ni wa thamani kubwa zaidi. Leo ninapoondoka hapa, natamani ningepata nafasi ya kukuona tena, kuomba msamaha uso kwa uso. Lakini najua huenda hunihitaji tena maishani mwako wala kutamani kuniona Hata hivyo nataka ukumbuke kitu kimoja moyo wangu nimeuachwa mikononi mwako.
Kabir."

Nadia alihisi machozi yakimtiririka mashavuni, siyo kwa hasira tena, bali kwa hisia nzito. Alishindwa kuelewa kama ni huzuni, hasira au upendo wa ghafla uliokuwa inanyemelewa kwenye moyo wake.
Amina aliingia ghafla bila kubisha hodi akamkuta Nadia akifuta machozi.
"Etiiii… umesoma barua yake na unalia? Amina aliuliza huku akimwangalia usoni kwa makini.
Nadia alitikisa kichwa taratibu.
"Unakataa wakati naona unalia .
Nadia alikaa kimya kwa muda, kisha akasema kwa sauti ndogo.
"Najisikia vibaya, Amina… Najisikia kama nimeharibu kila kitu. Nilimkataa vibaya sana, kumbe alihitaji nafasi ya kuzungumza nami."
Amina alimshika mkono.
" Alikuwa anakutaka lakini hakujua thamani yake na sasa hayupo unajiona thamani yake?
" Hapana .
" Kila kitu hapana sasa ukweli wa hili uko wapi?
Nadia alimuangalia usoni alafu akasema.
" Wewe ni rafiki yangu sioni haja ya kukuficha.
Siku ile tuliyopotea usiku nilikutana kimwili na kabir nikitokea kumchukua sana , alijitahidi sana kuomba msamaha lakini sikumuelewa lakini kwa sasa naona hakuwa na kosa sababu hata mimi nilionyesha kutaka kile alichokifanya. Sasa ameondoka na nafsi yangu inanisuta sana nimegundua kuwa hakufanya kwa mukusudi ila ni mihemko yetu ndio sababu .
" Nilihisi kuna kitu kinaendelea kati yangu .
" Najisikia vibaya sana.
"Sikiliza Nadia, hakuna mwanamke anayeweza atamsamehe mwanaume wa aina hiyo kwa urahisi. Lakini kama moyo wako umeamua kusamehe basi msamehe .

Usiku ulipowadia, Nadia alijilaza kitandani akiwa bado na barua mkononi. Alijua kesho wangeondoka hotelini kurudi majumbani kwao. Lakini moyo wake haukuwa na amani. Maneno ya Kabir yalikuwa yamechora alama isiyofutika kichwani mwake.

Asubuhi ilipofika kuandika lako wote walipanda kwenye gari na safari ya kurudi kwao ilianza.
Nadia alikaa kando ya dirisha, akiangalia barabara , alikuwa kimya sana tofauti na marafiki zake waliokuwa wanacheka na kupiga story.
Akili yake ilikuwa kwa Kabir mwanaume ambaye hakujuwa kama atamuona tena. Lakini moyoni mwake aliapa, ikiwa kweli hatma itapanga wakutane tena, basi safari hiyo wataweka mambo sawa.
Akiwa kwenye dimbwi la mawazo Amina alimshika begani, Nadia akageuka kumuangalia.
" Unamfikiria kabir?
Nadia alitingisha kichwa akimaanisha hapana.
" Ila yule kaka ni handsome kama ingekuwa haujachumbiwa na Jawad ningekushsiri uwe nae.
" Acha ujinga yule ni mtu wa kukutana nae kwa bahati mbaya.
" Ni kweli lakini ingekuwa wewe ndio mimi nisinge acha bahati inipite .
" Vipi kama ana mwanamke wake anayempenda?
" Kwa jinsi alivyo anaonekana bado alikuwa anakuhitaji na hata kama ana mwanamke wake huko ingejulikana tu maana ninge mganda zaidi ya ruba.
Kwa maneno ya amina nadia akajikuta anacheka.

Full 1000
Whatsp 0784468229

Maoni

You're not logged in


profile
majario 27 Aug 2025 22:41
MIMBA YA DHARURA 4
Tangazo - For this week only
For this week only
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MIMBA YA DHARURA 4



Nadia alijifungia chumbani kwake, moyo wake ukiwa na shauku ya kutaka kujua kwenye ile barua kimetandikwa nini.
Alipofika alichukua begi lake akatoa ile barua
alikaa kitandani akafungua ile barua na kuangalia macho yake yalikuwa na hofu pia alikuwa na hamu ya kujua yaliyomo. Kwa sekunde kadhaa aliitazama tu, alishusha pumzi kwa nguvu kisha
Akaanza kusoma:

"Nadia,
Samahani kwa kile kilichotokea. Najua nilikuvunja, niliharibu kitu kisichostahili kuharibiwa ila ni maalumu kwa mtu aliyedhamiria kufanya hivyo.
na kila dakika inayopita moyo wangu unaniuma zaidi Sikukusudia. Usidhani kuwa nilikuchukulia kama mwanamke wa kawaida, la hasha, wewe ni tofauti, ni wa thamani kubwa zaidi. Leo ninapoondoka hapa, natamani ningepata nafasi...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/mimba-ya-dharura-4

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi mimba-ya-dharura
 MIMBA YA DHARURA 13 13---14
MIMBA YA DHARURA 13 13---14
MIMBA YA DHARURA 12
MIMBA YA DHARURA 12
MIMBA YA DHARURA* *_____________________________________*  *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*
MIMBA YA DHARURA* *_____________________________________* *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*
MIMBA YA DHARURA* *_____________________________________*  *SEHEMU YA KUMI NA SITA*
MIMBA YA DHARURA* *_____________________________________* *SEHEMU YA KUMI NA SITA*
MIMBA YA DHARURA 7
MIMBA YA DHARURA 7
MIMBA YA DHARURA*   *SEHEMU YA SITA*
MIMBA YA DHARURA* *SEHEMU YA SITA*
MIMBA YA DHARURA 15
MIMBA YA DHARURA 15
MIMBA YA DHARURA 5
MIMBA YA DHARURA 5
MIMBA YA DHARURA 9
MIMBA YA DHARURA 9
MIMBA YA DHARURA 10
MIMBA YA DHARURA 10
MIMBA YA DHARURA 3
MIMBA YA DHARURA 3
MIMBA YA DHARURA  13---14
MIMBA YA DHARURA 13---14
MIMBA YA DHARURA 12
MIMBA YA DHARURA 12
MIMBA YA DHARURA 7
MIMBA YA DHARURA 7
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AAAAASH BOSS ENZO* *16&17*

AAAAASH BOSS ENZO* *16&17*

575
AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMI NANE*

AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMI NANE*

495
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 17

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 17

250
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 18

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 18

230
WEWE NI WANGU    SEHEMU YA 19

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 19

224
REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NANE*

REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NANE*

221
AAAAASH BOSS ENZO*    *SEHEMU YA KUMU NA TISA*

AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMU NA TISA*

205
REALLY LOVE* *29&30*

REALLY LOVE* *29&30*

131
SHAMIRA 1 mpk 7.

SHAMIRA 1 mpk 7.

111
SASA. NAKUPENDA One to sex

SASA. NAKUPENDA One to sex

81

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.3K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.04K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.72K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.14K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.55K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.43K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.36K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.34K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.28K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.2K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
SHAMIRA sehemu ya 13&14 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 13&14
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Kiukweli uyu baba alikuwa anajua kunipemdezesha mana pesa alikuwa ananipa mno. Na Nilipendeza sana nikawa navaa vitu vya bei nawaka mda wote sina shida ndogo...

Robert Carmona ndiye mwanasoka mkongwe zaidi anayecheza soka... Post Mpya
Robert Carmona ndiye mwanasoka mkongwe zaidi anayecheza soka...
@majario LIVE

Ana umri wa miaka 63 na anacheza safu ya ulinzi, alianza kucheza mpira mnamo mwaka 1976 na amechezea zaidi ya vilabu 30 Kwa sasa anachezea Klabu ya Liffa ya Uruguay inayoshiriki...

FROM BANGI TO BABY 💞💘  SEHEMU YA 10 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 10
@majario LIVE

Veda huyu akatokeza nilikwepa macho fastaaa nikaangalia mbinguu, Tinner akanambia kwa sauti ya chiniii "Kumbe shem sio haba nilikuwa sijamzingatia tu bonge la mwanaume jamani "Nikashindwa kuvumilia ila nikajikaza kuchekaa sikujibu kitu...

WEWE NI WANGU   SEHEMU YA 21 Post Mpya
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 21
@majario LIVE

SONGA NAYO........ Hatimae mke wangu alijifungua baby boy, 🥰 nyieeh hivi mnajua nilikuwa na furaha kiasi gani eeh yani iku hii mwanaume nilifanya kaazi mpaka ambazo nilikuwa sifanyi. Kwanza niliingia jikoni nikapika...

AAAAASH BOSS ENZO*    *SEHEMU YA KUMU NA TISA* Post Mpya
AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMU NA TISA*
@majario LIVE

Ishani Mimi nililia sana, lakini safari hii nililia tu kimya kimya sikutaka kusumbua watu wengine kwaajili ya matatizo yangu binafsi ambayo kwa Namna Moja au nyingine nilijitakia Mimi Mwenyewe Baba ya...

REALLY LOVE* *29&30* Post Mpya
REALLY LOVE* *29&30*
@majario LIVE

*mbona hupokei simu nani huyo anayepiga aliuliza fahima baad ya kuona seven anaingalia. tu simu bila kupokea sevan si nakuuliza nani huyo alisema fahima ni cathe na sijui anataka nini tena kwangu"...

REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NANE* Post Mpya
REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NANE*
@majario LIVE

cathe alisogea mpaka walipo hapo alishindwa hata kusalimia kiukweli alichanganyikiwa sana hakujua nini hatma ya maisha yake, ""kaa hapo" alisema baba cathe, nae cathe akaketi kwenye kiti ""baba yako amekuja kukuchukua cathe...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 10. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 10.
@majario LIVE

Kipande cha 10 🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼 Mwandishi; lissa wa huru media Basi jioni sana taratibu nikaludi zangu home.. mnazani iyo simu niliiiacha kwa adrian wala sio kweli mimi simu wala sikuiacha. Nikaludi nayo...

NILILETEWA MFANYAKAZI KUTOKA KIJIJINI 1--2 Post Mpya
NILILETEWA MFANYAKAZI KUTOKA KIJIJINI 1--2
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 ANZA NAYO SASA....... Ndugu zangu, dada zangu mama zangu na watu wangu kwa ujumla kwanza kabisa nianze na funzo hasa hasa kwa hawa wanawake wanaopenda sana wadada wa kazi Jamni...

WEWE NI WANGU    SEHEMU YA 19 Post Mpya
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 19
@majario LIVE

SONGA NAYO...... Muda ulienda na sikupata wasaa wa kuzungumza na mama maana alikuwa hataki kusikia chochote kutoka kwangu, so niliona nimsubiri dada yeye ndie anaweza kuwa msaaada wangu Hatiame muda wa dada...

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 18 Post Mpya
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 18
@majario LIVE

Kwa mahesabu yangu ya haraka haraka mwezi August aweza kuitwa baba 🥰😆 yaaah hakuna kitu kitamu kama kuitwa baba walah hii feeling wanaijua wale ambao wanatamani kuwa na watoto Basi ndio...

FROM BANGI TO BABY 💞💘   SEHEMU YA 9 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 9
@majario LIVE

Nikamuona D anatoka kwenye geti nikamwambia Boda tuondoke Boda akatimka hata hajui naenda wapi, sikuwa tena hata na mood ya kwenda kazini . Nikanyoosha mpaka kwa Tinner, alishangaa kuniona asubuhi asubuhi...

AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMI NANE* Post Mpya
AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMI NANE*
@majario LIVE

Nilishtuka na moyo wangu uliumia sana Kana kwamba msumari wenye moto uligongewa kifuani mwangu Sikutaka kuleta drama yoyote, nikajikaza na kumuangalia Enzo kwa utulivu sana na kumuuliza. "Lakini ulisema Kuwa Utazungumza na mama...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 9  Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 9
@majario LIVE

kipande cha 9 🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼 Mwandishi; lissa wa huru media Nikasema ww kama.nani ebu niache uko we vp. Akanmbia sasa umekuja kufata nni chumbani kwangu au ndo umeniletea hii pesa alokupa mwanaume wako...

SHAMIRA 8   MPK  12 Post Mpya
SHAMIRA 8 MPK 12
@majario LIVE

🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀 sehemu ya 8 Mwandishi; lissa wa huru media Sikuwa na habar na kushangaa kwake mm nilikuwa na mkatikia sio powa. watu wanashangalia sio powa nikaona yule kaka kajitoa chapu, kabaki ananishangaaaa yule...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest