Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo
Gonga94 · Stories
30 Nov -0001
66 views
VYOTE NDANI GONGA94
Mwaka 1977 Ilitoka Filamu Maarufu iliyo kuwa ikizungumzia Maisha ya YESU ,Filamu hii iliitwa “Jesus of Nazaleth”
Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
Mwaka 1977 Ilitoka Filamu Maarufu iliyo kuwa ikizungumzia Maisha ya YESU ,Filamu hii iliitwa “Jesus of Nazaleth” iliigizwa na Raia Wa uingereza Robert Powell.Kuanzia apo Dunia ikaanza kukumbwa na Mtazamo kuwa Sura ya Robert powell ndiyo Sura halisi ya YESU.
Miaka miwili mbele Yaani 1979 ilitengenezwa Filamu nyingine ya Maisha ya YESU .mtu mmoja akachaguliwa kuigiza Filamu hiyo Muingereza aliyeitwa Brian Deacon .Filamu hii iliuza Sana Duniani na Watu wakaamini Sura halisi ya YESU ni Ile waliyoiona kwenye Filamu .
Picha za Robert powell na Brian Deacon waigizaji walioigiza Filamu ya YESU zikaprintiwa na kuuzwa Kwa wingi .karibu na kila nyumba ya Mkristo Duniani Sebule Yake ilipambwa Kwa picha za Brian Deacon na Robert powell .Imani moyoni ilituambia sasa Ile Ni picha ya YESU.
Mbaka makanisa zikatengenezwa sanamu zenye Sura ya Robert powell na Bryan Decon na watu wanaamini kuwa hiyo Ni Sura halisi ya YESU Mwana Wa Mungu . inawezekana kuwa picha Brian Deacon na Robert powell inafanana na Sura halisi ya YESU lakini si kwamba huo ndio muonekano Halisi Wa YESU hivyo Tuweni makini isije siku YESU akarudi tukashindwa kumpokea Kwa Maana tumekalili zile picha za Brian Deacon na Robert powell Kwa kudhani kuwa ndio Mwonekano halisi Wa YESU.
Mwandishi na mwanafalsafa Kutoka uingereza George Bernard show aliwahi kusema “kuweni makini na Elimu yenye upotofu Kwa Maana Ni hatari zaidi kuliko ujinga ”
Hapo zamani Mchoraji mmoja Maarufu kutokea katika falme za Byzantine iliyo kuwa chini ya utawala Wa kirumi Miaka 200 baada ya kifo cha Kristo .aliamua kuchora michoro Kwa jinsi anavyo fikiria Kwa akili zake kuwa YESU alikuwa anaonekanaje.kijana huyo alikuwa ni mfuasi Wa Miungu ya Kigiriki hivyo mchoro huo aliuchora Kwa kuufananisha na muonekano Wa Miungu ya Kigiriki.
Zamani kulikuwapo na Miungu ya Kigiriki ambayo sifa ya mionekano yao ni kuwa na nywele na ndevu ndefu.Miungu hiyo Ni Apollo na Zeus.basi hapo zamani katika falme ya Byzantine iliyo kuwa chini ya utawala Wa Roma , Miaka 200 baada ya kifo cha Yesu kijana mmoja Mwenye stadi ya uchoraji aliyekuwa mfuasi Wa Miungu ya Kigiriki aliamua kuchora picha ya muonekano Wa YESU Kwa jinsi anavyo fikiria.Alimchora kijana Handsome akifananisha muonekano wa YESU.
Inawezekana mchoro huo ulitumika kuipotosha Dunia watu waliamini YESU alikuwa na ndevu ndefu na nywele nyingi .kumbe ulikuwa Ni uongo Wa Yule Mchoraji Wa kirumi Ambaye alimchora YESU na kumfananisha na Miungu Yao ya kirumi ZEUS . inawezekana alifanikiwa Kwa kiasi kikubwa kuudanganya ulimwengu.
Kwa wasomi Wa Dini ya Ukristo wanatambua kuwa zamani watu wa kale walipo kuwa wakiandika na kuchora picha za YESU mapangoni au kwenye makanisa ya zamani wote walimchora YESU akiwa na nywele Fupi .
Ushahidi Wa msingi Wa michoro hii ni ule ushahidi wa watu wa kale walio chora mchoro Wa YESU na kuuweka katika kanisa la Dura europos huko Syria ambapo zamani ilikuwa ni mpakani katika Dola ya kirumi katika karne ya 3.Yesu aliishi katika utawala Wa Dola ya Rumi katika karne ya Kwanza .Dola ya kirumi ndio ilikuwa ikitawala Dunia wakati huo.hivyo watu wengi waliishi katika tamaduni za kirumi.
Itaendelea!.
Karibu Nyasa - Mbamba Bay
Karibu (Ruvuma) Songea
Maoni
You're not logged in
X
Login
X
signup
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa
+ Endelea kugundua zaidi
Alishika namba 1 kitaifa matokeo ya mitihani Kidato cha sita mwaka 2006, Elias Kihombo
pichani aliyesoma PCM alipata division 1.3 akiwa na A za juu katika masomo yote kuliko wanafunzi wengine wote wa michep...
Je wajua filamu ya Deadly Prey ya mwaka 1987 ilitayarishwa na David Trior ambaye alimpa nafasi ndugu yake Ted Prior kucheza uhusika mkuu(main character)
filamu iliyotengenezwa kwa bajeti ya chini sanaa kiasi mwanzo mwisho wa filamu jamaa alikuwa na kipensi tuu vibanda umiz...
Je wajua Joseph Ogolan Olita muigizaji kutoka Kenya ndiye aliyecheza Uhusika wa Idd Amin dada katika filamu ya The Rise and Fall of Idd Amin ya mwaka 1981 na Mississippi Masala ya mwaka 1991
ambayo aliigiza sambamba na staa mkubwa Denzel Washington Joseph alikuwa anamjua Idd Amin kwa kiasi alichofanya ni kuji...
Hapo ni Golden Harvest Studios mwaka 1972 pale ambapo kijana mdogo Jackie Chan alijihisi anauwezo sawa na mpiganaji bora wa dunia wa muda wote Bruce Lee,Na
kutaka kumpandishia Bruce Lee ila watu wakaingilia na Jackie Chan mwenyewe anasema alishukuru watu waliingilia na pia b...
Tangazo - MY Wangu season one, season two, season 3, season 4 and season 5 final
MY Wangu season one, season two, season 3, season 4 and season 5 final
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA
Mwaka 1977 Ilitoka Filamu Maarufu iliyo kuwa ikizungumzia Maisha ya YESU ,Filamu hii iliitwa “Jesus of Nazaleth”
Mwaka 1977 Ilitoka Filamu Maarufu iliyo kuwa ikizungumzia Maisha ya YESU ,Filamu hii iliitwa “Jesus of Nazaleth” iliigizwa na Raia Wa uingereza Robert Powell.Kuanzia apo Dunia ikaanza kukumbwa na Mtazamo kuwa Sura ya Robert powell ndiyo Sura halisi ya YESU.
Miaka miwili mbele Yaani 1979 ilitengenezwa Filamu nyingine ya Maisha ya YESU .mtu mmoja akachaguliwa kuigiza Filamu hiyo Muingereza aliyeitwa Brian Deacon .Filamu hii iliuza Sana Duniani na Watu wakaamini Sura halisi ya YESU ni Ile waliyoiona kwenye Filamu .
Picha za Robert powell na Brian Deacon waigizaji walioigiza Filamu ya YESU zikaprintiwa na kuuzwa Kwa wingi .karibu na kila nyumba ya...
👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/mwaka-1977-ilitoka-filamu-maarufu-iliyo-kuwa-ikizungumzia-maisha-ya-yesu-filamu-hii-iliitwa-jesus-of
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi mwaka
CHOMBEZO-JAMANI BINAMU!!!!! SEHEMU YA KWANZA Ilikuwa mwaka 2008 nilipomaliza kidato cha nne,lakini matokeo
Alishika namba 1 kitaifa matokeo ya mitihani Kidato cha sita mwaka 2006, Elias Kihombo
Nina miaka 23, niko chuo mwaka wa tatu. Mwaka jana nilikuja hapa kwa dada yangu baada ya baba yangu kufariki, ambaye alikuwa ananisomesha
*BIKRA TAMU, DADA NAKUOA* *1-5* *_____________________________________* *SEHEMU YA KWANZA* Ilikuwa ni mwaka elfu mbili na kumi na nane, mwaka ambao nilikuwa chuo mwaka wa pili,
Chombezo : Huruma Ya Dudu Sehemu Ya : Kwanza (1) Nakumbuka ilikuwa mwaka jana tarehe 8 mwezi wa 8, siku ambayo niliamua
NITAWATAJIRISHA KWA MWAKA MMOJA TU NA WATARUDI KWENYE UMASKINI WAO
Gari la kwanza duniani lilitengenezwa nchini Ujerumani na mtu mashuhuri Karl Benz mwaka 1885
Mnamo mwaka 1899, ikiwa ungetaka kusikiliza wimbo, ulilazimika kukodi bendi ya muziki au kujifunza piano
Nicki Minaj aliandika kwenye Twitter: “Inashangaza kuona baadhi ya watu bado wamekwama mwaka 2003
MICHAEL ALITUAMSHA TUKAENDELEA KULALA. _________________________ Mwaka 1983,
SULTANAT ndiyo filamu ya kwanza kuwakutanisha wawili hawa mwaka 1986, ndani humo kukiwa na Sunny Deol, Dharmendra na Amrish Puri
Je wajua filamu ya Deadly Prey ya mwaka 1987 ilitayarishwa na David Trior ambaye alimpa nafasi ndugu yake Ted Prior kucheza uhusika mkuu(main character)
Tarehe 11 November kama leo lakini hii ilikua ni mwaka 1988 filamu hii iliachiwa rasmi kwenye majumba ya sinema. TEZAAB
BETWEEN SISTERS AND SECRET 8-9 Chapter 8 "Sweetheart, hapa ni kituo cha watoto yatima. Kila mwaka huwa tunakuja kupata nao chakula,
MUNGU NISAMEHE NIMEMT*OA MIMBA BINTI YANGU! Mwaka 2008 ndiyo niliachana na mama wa mtoto wangu
Chini ya Rais Barack Obama Mnamo mwaka wa 2010, Marekani ilizindua uchunguzi maalumu uliohusisha uchambuzi wa taarifa za siri na ushahidi uliotolewa na mahabusu waliohusika na Al-Qaeda
Cynthia Rothrock Machi 8 mwaka 1957 katika jiji la Wilmington
FIFA inafikiria mashindo ya Kombe la Dunia la mwaka 2030 kushirikisha timu 64 lengo likiwa ni kusherehekea miaka 100 tangu kufanyika kwa Kombe la Dunia la Kwanza 1930 Uruguay
Mwaka 1992 kundi la vijana Stoway kutoka Ghana walimvamia na kumnyonga Nahodha wa meli ya mizigo ya
Hapo ni Golden Harvest Studios mwaka 1972 pale ambapo kijana mdogo Jackie Chan alijihisi anauwezo sawa na mpiganaji bora wa dunia wa muda wote Bruce Lee,Na
Apocalypto ya mwaka 2006 ni moja kati ya filamu bora kwenye ulimwengu wa filamu..
Historia ya MV Bukoba Meli ya MV Bukoba ilizinduliwa mwaka 1979 na Baba wa Taifa
Ilikuwa ni kwenye tuzo za Hollywood mwaka 2000,Pale ambapo familia
Angela white, mzaliwa wa Australia amezaliwa mwaka 1985 Kwa Sasa ana umri wa miaka 40.
Maoni