Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

Mwekezaji MO DEWJI kupata ukweli juu ya jambo hilo, naomba nimnukuu MO:
Gonga94 · Stories

Mwekezaji MO DEWJI kupata ukweli juu ya jambo hilo, naomba nimnukuu MO:

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
Kuna upotoshwaji unafanywa na baadhi ya Watu kuhusu Simba, MO na DP WORLD, ikanibidi kama Mwandishi leo nikampigia simu Mwekezaji MO DEWJI kupata ukweli juu ya jambo hilo, naomba nimnukuu MO:

“Suala la DP WORLD ni kweli lipo na tuliletewa na Serikali katika harakati za kuhakikisha Klabu zetu zinapiga hatua na kufanikiwa zaidi, DP World hakuwa anakuja Simba kama Mwekezaji bali Mdhamini, tulipokea kwa mikono miwili na sisi kama Klabu tuliandika Proporsal yetu kwao ambapo tulihitaji Udhamini wa BILLION 6 kwa mwaka ila haikukubaliwa, tukarudi chini mpaka BILLION MBILI kwa mwaka ila bado DP World hawakuwa tayari kudhamini kwa kiasi hicho” alisema MO

Mwekezaji MO DEWJI akaendelea:

“Kwakuwa CEO wa DP WORLD ni Rafiki yangu personally na tunaishi karibu huku Dubai, nikaonana nae kutaka kufahamu upande wao kwanini kuna mkwamo juu ya Udhamini, CEO aliniambia biashara yao ni B2C yaani kazi yao ni Bandari na wanafanya kazi na Viwanda na Makampuni hivyo haoni faida ya moja kwa moja kudhamini hivyo jambo likaishia hapo, binafsi sikuwahi na sikuweka ngumu kwa DP World kuja mpaka nikatumia resources na muda wangu kuwapush tofauti na Watu wanavyosema” alimaliza MO DEWJI.

Haya turudishe maswali kwa wapiga zumari kama ifuatavyo.

1- Nani anaanzisha agenda ambayo haipo? Serikali walitaka aingie kama Mdhamini kutokana na kuhitaji Klabu zetu zizidi kustawi kiuchumi, nani anachepusha ukweli na kuleta mada za Kuingia kama Shareholder?

2- DP WORLD wapo na utaratibu wa kuwa Mwanahisa unafahamika, ni nani anatikisa Mti wa Nyuki kuleta hadithi za kufikirika? Kwa faida ya nani?

BADO NIPO, NIMEANZA.
Tangazo - Hostinger better 2026
Hostinger better 2026
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

Mwekezaji MO DEWJI kupata ukweli juu ya jambo hilo, naomba nimnukuu MO:

Kuna upotoshwaji unafanywa na baadhi ya Watu kuhusu Simba, MO na DP WORLD, ikanibidi kama Mwandishi leo nikampigia simu Mwekezaji MO DEWJI kupata ukweli juu ya jambo hilo, naomba nimnukuu MO:

“Suala la DP WORLD ni kweli lipo na tuliletewa na Serikali katika harakati za kuhakikisha Klabu zetu zinapiga hatua na kufanikiwa zaidi, DP World hakuwa anakuja Simba kama Mwekezaji bali Mdhamini, tulipokea kwa mikono miwili na sisi kama Klabu tuliandika Proporsal yetu kwao ambapo tulihitaji Udhamini wa BILLION 6 kwa mwaka ila haikukubaliwa, tukarudi chini mpaka BILLION MBILI kwa mwaka ila bado DP World hawakuwa tayari kudhamini kwa kiasi...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/mwekezaji-mo-dewji-kupata-ukweli-juu-ya-jambo-hilo-naomba-nimnukuu-mo

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi mwekezaji-mo-dewji-kupata-ukweli-juu-ya-jambo-hilo-naomba-nimnukuu-mo
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

10.11K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.25K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.48K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

2.56K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.3K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.11K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.11K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.04K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

1.99K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

1.95K
Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest