*NITAKUSEMEA KWA BABA UNANIUMIZA* Chapter 13 Niliamka nikamsalimia baba yangu kwa furaha tele ma'an nilikua nina furaha
Nilienda officine sasa tukiwa tumekaa officine maaan kwa sasa office yangu ipo kwa boss alikuja mmama mmoja officine alitukuta mimi na boss ila kila mtu yupo busy "Habari zenu wanangu" alisema huku akiachia tabasamu la kweli yaani mhhh "salama mama karibu, Angel mama yangu ndio huyu hapa kutana nae" nilimsalimia mama yake boss kama boss alivyonielekeza kuwa ni mama yake mimi sijui ni mama yake au laa ila nimeambiwa ni mama yake ndio ninachojua "mama huyu ni Angel"
"Nafahamu hiloo" alisema mama yake boss mimi nilibaki namkodoleaa mimacho tuu huyu mwanamke ila sikushangaa "ooh kumbe ni mrembo kweli kama ulivyosema ni mzuri sana ila nahitajiaa maongezi naee " alisema mama yake boss mimi nilikuwa nawasikiliza kwa maan walikuwa wanaongea mada nisizofahamu "okay Angel Nakualika nyumbani kwangu leo update dinner to naomba ufike bila kukosa binti yangu" alisema akanisogelea na kunishika shavu "lakini madam mimi...." alidakia boss
"Unataka useme kuhusu baba yako? Muombe ruhusa basi atakuelewa naamini hiloo" nilimtizama huyu mjinga anajifanya ananijua sana eeh ngoja ntamuonesha ukweli halisi mimi ni nani hapaa mjinga huyu, nilitaka kukanusha kauli yake ya ukweli dhidi yangu, ila kabla sijaongeaa aliiingia Suzy bila hata hodi mimi huyu mwanamke simpendii angejuaa asingekuwa anajileta letaa hapa nilimtizmaa alikuja akamkumbatiaa yule mama yake boss
"Ooh aunty ujue nilikumiss sana, afu umekuja hujanambiaa kuhusu kama umekuja yaani umekuja hata hujanambia yaani Aunty Thuu bhana ujuee mimi sipendi mimi halo hasira sishanija mpaka najiona siwezi tena kuvumilia huu ujinga kwa kweli mhhh yaani hili lipuuzi linaniboaa "okay my lovely ana my pretty gal nilikuwa nitoke hapa nije officine kwako kukuutaarifu mualikoo wako leo nakualika nyumbani tu have a dinner kipenzi" alisem yule mama yake kama alivyosema Suzy Mrs Thuu❤ baa da ya pale yule mama aliondoka nikampigia baba akaakubali akasema niende kama ni dinner tu niendeee nilishikuru kwa hilo
"Haya twendee sasa maan ni tunaenda wote" nilimtizama boss "hapana miminapitia dukanai siwezi vaa hivi alinitizama tu "sio dukani tuu nitakupeleka na saloon nataka nikuone leoo na make up upendeze sawa malaika ila ..." ni kama kuna kitu alitaka kunambiaa nilimtizama tu nikakataa alinitizama "sawa kama hutaki mimi naenda. Tutakutana kwa Mama okay baaadae" muda huo huo akaja Suzy "ooh my future baby leo nitaenda kuongea na Aunty kila kitu kwasababu na baba na mama watakuwepo itakuwa greet" alisem yule mpuuzi nilipata hasira mimi "okay"aljibu kiufupi akatoka njee mpaka parking nilimfuata nikaingiaa kwenye garii
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa + Endelea kugundua zaidi

Maoni