Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya โ€“ Gonga94 Semajambo

๐ŸŽ™๏ธWALIMWOZESHA NA CHIZI KUMBE NI TAJIRI! (Part 2)
Gonga94 ยท Stories

๐ŸŽ™๏ธWALIMWOZESHA NA CHIZI KUMBE NI TAJIRI! (Part 2)

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.


ILIPOISHIA...,

Akaachia mshonyo mkali, huku akiongea kwa sauti ya chini chini, akisema,
" mmh!, yani hata ukisikia nimechanganyikiwa ndo nikufanyie wema mtu kama wewe?!,
utasubiri Sana kwa hilo, sasa subiri furaha yako yaja, mimi ndo mama Vero wa ukwee e! ".

Turi alisikia maneno hayo vizuri tu,
Lakini, hakuelewa ni nini mama yake alikuwa anakimaanisha!, maana ametoka kuongea naye kwa upole na bashasha muda si mrefu!,

ila,
Turi akaamua kujipa imani, huku akajisemea kimoyo moyo,

"labda itakuwa ni watu wake wa kwenye Vikoba wamesha mkera tayari, maana mama naye, mmh...!,mmh...!, mmh...!".

Lakini, Turi alipotoka nje, alimkuta mama yake pamoja na mdogo wake ambaye ni Vero, wakiwa wamesimama na Kijana mmoja ambaye kimuonekano ni chizi kabisa!,

maana, alikuwa amevalia mavazi ya kuchakaa na machafu kuriko kawaida!, huku nzi wakimzunguka kama mkaanga samaki wabichi!, tena akiwa anaongea peke yake na kucheka.

Turi alipofika karibu, akamuuliza mama yake akisema,
"Masikiniii!, mama!, huyu mgonjwa katokea wapi mama!?, au inawezekana anajisikia njaa!, nikamletee chakula? ".

Loooh!, lakini, jibu alilolitoa mama Vero lilimfanya Turi akajuta kuzaliwa kabisa, na kujiona kama mtu mwenye makosa makubwa kwa kuzaliwa kwake kwenye hii dunia!,

maana, hakuna siku imewahi kupita hivi hivi, tangu alipokaa na mama huyo bila kumwaga machozi ya hudhuni!,

maana, Mama yake huyo, huku akiwa anaongea kwa kejeri na kumkata jicho Turi kuanzia miguuni mwake mpaka utosini, Akasema, "

ahahaha!, haloooh!, na bado mwaka huu, eti!, huyu mgonjwa katokea wapi?, yani mumeo unamwita mgonjwa,
utaachika uwe na adabu!,
sasa huyu ndo mumewako wewe kinyago!, utake na usitake utaolewa naye".

Turi, akawa kama mtu aliyechanganyikiwa kutokana na matatizo yasiyoisha kwenye maisha yake, akaanza kulia kilio chenye sauti ya juu kabisa!, huku makamasi yakimtoka puani kama Mtoto mdogo,
kutokana na hudhuni ambayo, ilimfanya mpaka akakumbuka wazazi wake,

labda wangekuwepo hayo yote yasingemkuta akasema,
" mamaaa!, nimekukosea nini lakini kwenye maisha haya mimi,
mbona najitahidi Sana kufanya kila kitu unachonielekeza kwa wakati na utiifu mkubwa, na wala sijawahi kukuchukulia kama Mama wakufikia hata siku moja ,

bali nakuona kama Mama yangu mzazi,na wala hakuna siku nimewahi kukuvujia heshima mama!,
lakini, sitaki kuamini kuwa haya ndio malipo yake, mimi nitaishije na kijana huyu,na unaona hali Yake ilivyo?!,
Bora ungenitafutia hata kazi, ningejua nitaishi naye vipi,
ila!,
nashukuru kwa yote Mama ".

Baada ya maneno hayo ya Turi ambayo yalijawa na hudhuni na ukweli mtupu!, Lakini, hayakubadirisha chochote kwenye roho mbaya aliyokuwa nayo Mama Vero, ndo kwaanzaa!,
akamshindilia na maneno mengine ya ziada ya kero akasema,

" ebu nitokee hapa mimi we takataka, unajiliza liza hapa,eti!, mama...!, mama!, mama!, nilikuzaa Mimi wewe?!".

Maneno hayo, yalimfanya mpaka kijana huyo anayesemekana kuwa ni chizi, macho yake Yakajawa na machozi ya hudhuni,
lakini hakuna aliyemfuatilia wala kugundua ,maana wote walikua bize na majibizano tu!.

Ghafla!, Mama Vero akaingia ndani na kuchukua mfuko mweusi wa rambo ambao,
ulikuwa na nguo mbili tatu za Turi kisha akamtupia Turi miguuni, na kusema,

"chukua na maforonya yako haya wewe!, usiache nuksi zako humu ndani, umuachie mwanangu Mimi!,
unadhani na yeye amekosa radhi za wazazi wake kama wewe eeeh!?".

ila, chaajabu!, baada ya malumbano hayo ya muda mrefu, kijana huyo chizi alikuwa mpole kabisa,
tofauti na vile ambayo mama Vero alivyomzoea kumuona mtaani akiwa na fujo za hapa na pale za uchizi wake,
lakini alipoa kabisa!, mpaka mama Vero akajisemea kimya kimya,

" huyu kichaa naye sijui anakahuruma?!, mbona amepoa hivi na si kawaida yake?, bwana eeh! ,
wataenda kujuana wenyewe , na jumba lake bovu lile, sijui wataishije, hahahaha,ilimradi mpango wangu wa kumuondoa Turi kwenye urithi umetiki, siwazi!".

Haikupita muda mrefu, mara!, kijana huyo chizi huku akijichekesha chekesha, akamshika Turi mkono akaondoka naye huku akiwaaga Vero na Mama yake,

Turi alijaribu kujinasua kutoka katika mikono ya kijana huyo, ili angalau atembee mwenyewe , maana alikuwa anatoa harufu isiyo ya kawaida kabisa!.

Mama Vero hakuisha kuongea hata Baada ya Turi kutoka pembeni kidogo ya nyumba ,akamsindikiza na maneno ya mwisho mwisho akisema,
" nenda mwana kwenda, Yani watu hatufanyi mambo yetu kwa uhuru kisa kukufikiria wewe, we kama nani!?".

Lakini, kijana huyo chizi alimshika Turi kwa nguvu hadi Turi akawa na wasiwasi moyoni, huku akijiuliza maswali juu ya usalama wake huko aendako,ila, hakujua lipi ni jibu sahihi!,

ila, chakushangaza!, walipofika mbele kijana huyo ambaye mwanzo walikotoka alikuwa anajichekesha kama chizi, ghafla!, akawa siriasi!,

akamwambia Turi maneno lilofanya akabaki mdomo wazi kwa mshangao, kijana huyo chizi alisema,
" Turi!, usilie Mimi Sio chizi, kila kitu kitakuwa Sawa tu tofauti na alivyotarajia mama yako.!,

ITAENDELEA...

Maoni

You're not logged in


profile
majario 27 Aug 2025 21:56
๐ŸŽ™๏ธWALIMWOZESHA NA CHIZI KUMBE NI TAJIRI! (Part 2)
Tangazo - Monday To Sunday
Monday To Sunday
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

๐ŸŽ™๏ธWALIMWOZESHA NA CHIZI KUMBE NI TAJIRI! (Part 2)



ILIPOISHIA...,

Akaachia mshonyo mkali, huku akiongea kwa sauti ya chini chini, akisema,
" mmh!, yani hata ukisikia nimechanganyikiwa ndo nikufanyie wema mtu kama wewe?!,
utasubiri Sana kwa hilo, sasa subiri furaha yako yaja, mimi ndo mama Vero wa ukwee e! ".

Turi alisikia maneno hayo vizuri tu,
Lakini, hakuelewa ni nini mama yake alikuwa anakimaanisha!, maana ametoka kuongea naye kwa upole na bashasha muda si mrefu!,

ila,
Turi akaamua kujipa imani, huku akajisemea kimoyo moyo,

"labda itakuwa ni watu wake wa kwenye Vikoba wamesha mkera tayari, maana mama naye, mmh...!,mmh...!, mmh...!".

Lakini, Turi alipotoka nje, alimkuta mama yake pamoja na mdogo...

๐Ÿ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/walimwozesha-na-chizi-kumbe-ni-tajiri-part-2

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu ยท dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi walimwozesha-na-chizi-kumbe-ni-tajiri-part
๐ŸŽ™๏ธ WALIMWOZESHA NA CHIZI KUMBE NI TAJIRI!(Part 5)
๐ŸŽ™๏ธ WALIMWOZESHA NA CHIZI KUMBE NI TAJIRI!(Part 5)
๐ŸŽ™๏ธ WALIMWOZESHA NA CHIZI KUMBE NI TAJIRI!(Part 4)
๐ŸŽ™๏ธ WALIMWOZESHA NA CHIZI KUMBE NI TAJIRI!(Part 4)
๐ŸŽ™๏ธ WALIMWOZESHA NA CHIZI KUMBE NI TAJIRI! (Part 3)
๐ŸŽ™๏ธ WALIMWOZESHA NA CHIZI KUMBE NI TAJIRI! (Part 3)
๐ŸŽ™๏ธ WALIMWOZESHA NA CHIZI KUMBE NI TAJIRI! ( Part 6)
๐ŸŽ™๏ธ WALIMWOZESHA NA CHIZI KUMBE NI TAJIRI! ( Part 6)
๐ŸŽ™๏ธ WALIMWOZESHA NA CHIZI KUMBE NI TAJIRI! (Part1)
๐ŸŽ™๏ธ WALIMWOZESHA NA CHIZI KUMBE NI TAJIRI! (Part1)
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AAAAASH BOSS ENZO* *16&17*

AAAAASH BOSS ENZO* *16&17*

573
AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMI NANE*

AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMI NANE*

490
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 17

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 17

249
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 18

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 18

229
WEWE NI WANGU    SEHEMU YA 19

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 19

223
REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NANE*

REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NANE*

219
AAAAASH BOSS ENZO*    *SEHEMU YA KUMU NA TISA*

AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMU NA TISA*

187
REALLY LOVE* *29&30*

REALLY LOVE* *29&30*

127
SHAMIRA 1 mpk 7.

SHAMIRA 1 mpk 7.

109
SASA. NAKUPENDA One to sex

SASA. NAKUPENDA One to sex

80

ZIMESOMWA ZAIDI

โ€ŽTUNDA LA  DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

โ€ŽTUNDA LA DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

11.3K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.04K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya tisa.  ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya tisa. ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

3.72K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya sita.  ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya sita. ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

3.14K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 20.  ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 20. ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

2.54K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya tatu.  ๐Ÿ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya tatu. ๐Ÿ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...๐Ÿ‘‡

2.43K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 16.  ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 16. ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

2.36K
I LOVE YOU DADY ๐Ÿ’˜โค๏ธ๐Ÿ’˜10

I LOVE YOU DADY ๐Ÿ’˜โค๏ธ๐Ÿ’˜10

2.34K
โคโค MTOTO WA MKE WANGU๐Ÿ˜›๐Ÿ˜›  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

โคโค MTOTO WA MKE WANGU๐Ÿ˜›๐Ÿ˜› Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.28K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya nane.  ๐Ÿ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya nane. ๐Ÿ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...๐Ÿ‘‡

2.2K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
SHAMIRA sehemu ya 13&14 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 13&14
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Kiukweli uyu baba alikuwa anajua kunipemdezesha mana pesa alikuwa ananipa mno. Na Nilipendeza sana nikawa navaa vitu vya bei nawaka mda wote sina shida ndogo...

Robert Carmona ndiye mwanasoka mkongwe zaidi anayecheza soka... Post Mpya
Robert Carmona ndiye mwanasoka mkongwe zaidi anayecheza soka...
@majario LIVE

Ana umri wa miaka 63 na anacheza safu ya ulinzi, alianza kucheza mpira mnamo mwaka 1976 na amechezea zaidi ya vilabu 30 Kwa sasa anachezea Klabu ya Liffa ya Uruguay inayoshiriki...

FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜  SEHEMU YA 10 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 10
@majario LIVE

Veda huyu akatokeza nilikwepa macho fastaaa nikaangalia mbinguu, Tinner akanambia kwa sauti ya chiniii "Kumbe shem sio haba nilikuwa sijamzingatia tu bonge la mwanaume jamani "Nikashindwa kuvumilia ila nikajikaza kuchekaa sikujibu kitu...

WEWE NI WANGU   SEHEMU YA 21 Post Mpya
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 21
@majario LIVE

SONGA NAYO........ Hatimae mke wangu alijifungua baby boy, ๐Ÿฅฐ nyieeh hivi mnajua nilikuwa na furaha kiasi gani eeh yani iku hii mwanaume nilifanya kaazi mpaka ambazo nilikuwa sifanyi. Kwanza niliingia jikoni nikapika...

AAAAASH BOSS ENZO*    *SEHEMU YA KUMU NA TISA* Post Mpya
AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMU NA TISA*
@majario LIVE

Ishani Mimi nililia sana, lakini safari hii nililia tu kimya kimya sikutaka kusumbua watu wengine kwaajili ya matatizo yangu binafsi ambayo kwa Namna Moja au nyingine nilijitakia Mimi Mwenyewe Baba ya...

REALLY LOVE* *29&30* Post Mpya
REALLY LOVE* *29&30*
@majario LIVE

*mbona hupokei simu nani huyo anayepiga aliuliza fahima baad ya kuona seven anaingalia. tu simu bila kupokea sevan si nakuuliza nani huyo alisema fahima ni cathe na sijui anataka nini tena kwangu"...

REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NANE* Post Mpya
REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NANE*
@majario LIVE

cathe alisogea mpaka walipo hapo alishindwa hata kusalimia kiukweli alichanganyikiwa sana hakujua nini hatma ya maisha yake, ""kaa hapo" alisema baba cathe, nae cathe akaketi kwenye kiti ""baba yako amekuja kukuchukua cathe...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 10. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 10.
@majario LIVE

Kipande cha 10 ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ Mwandishi; lissa wa huru media Basi jioni sana taratibu nikaludi zangu home.. mnazani iyo simu niliiiacha kwa adrian wala sio kweli mimi simu wala sikuiacha. Nikaludi nayo...

NILILETEWA MFANYAKAZI KUTOKA KIJIJINI 1--2 Post Mpya
NILILETEWA MFANYAKAZI KUTOKA KIJIJINI 1--2
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 ANZA NAYO SASA....... Ndugu zangu, dada zangu mama zangu na watu wangu kwa ujumla kwanza kabisa nianze na funzo hasa hasa kwa hawa wanawake wanaopenda sana wadada wa kazi Jamni...

WEWE NI WANGU    SEHEMU YA 19 Post Mpya
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 19
@majario LIVE

SONGA NAYO...... Muda ulienda na sikupata wasaa wa kuzungumza na mama maana alikuwa hataki kusikia chochote kutoka kwangu, so niliona nimsubiri dada yeye ndie anaweza kuwa msaaada wangu Hatiame muda wa dada...

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 18 Post Mpya
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 18
@majario LIVE

Kwa mahesabu yangu ya haraka haraka mwezi August aweza kuitwa baba ๐Ÿฅฐ๐Ÿ˜† yaaah hakuna kitu kitamu kama kuitwa baba walah hii feeling wanaijua wale ambao wanatamani kuwa na watoto Basi ndio...

FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜   SEHEMU YA 9 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 9
@majario LIVE

Nikamuona D anatoka kwenye geti nikamwambia Boda tuondoke Boda akatimka hata hajui naenda wapi, sikuwa tena hata na mood ya kwenda kazini . Nikanyoosha mpaka kwa Tinner, alishangaa kuniona asubuhi asubuhi...

AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMI NANE* Post Mpya
AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMI NANE*
@majario LIVE

Nilishtuka na moyo wangu uliumia sana Kana kwamba msumari wenye moto uligongewa kifuani mwangu Sikutaka kuleta drama yoyote, nikajikaza na kumuangalia Enzo kwa utulivu sana na kumuuliza. "Lakini ulisema Kuwa Utazungumza na mama...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 9  Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 9
@majario LIVE

kipande cha 9 ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ Mwandishi; lissa wa huru media Nikasema ww kama.nani ebu niache uko we vp. Akanmbia sasa umekuja kufata nni chumbani kwangu au ndo umeniletea hii pesa alokupa mwanaume wako...

SHAMIRA 8   MPK  12 Post Mpya
SHAMIRA 8 MPK 12
@majario LIVE

๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€ sehemu ya 8 Mwandishi; lissa wa huru media Sikuwa na habar na kushangaa kwake mm nilikuwa na mkatikia sio powa. watu wanashangalia sio powa nikaona yule kaka kajitoa chapu, kabaki ananishangaaaa yule...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest