Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya โ€“ Gonga94 Semajambo

๐ŸŽ™๏ธ WALIMWOZESHA NA CHIZI KUMBE NI TAJIRI!(Part 4)
Gonga94 ยท Stories

๐ŸŽ™๏ธ WALIMWOZESHA NA CHIZI KUMBE NI TAJIRI!(Part 4)

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.


ILIPOISHIA...,

Amani, Turi pamoja na mshenga, wakakaa kwenye viti vilivyoletwa na Vero.
Na Baada ya kukaa ,mshenga akasema,
" mama, Sisi hatuna muda Sana hapa, ila tumekuja kuleta kidogo ambacho kijana wetu amebarikiwa nacho, nadhani yeye mwenyewe atasema mengi".

Kisha mshenga akatoa bahasha iliyotuna kweli kweli!, na kumkabidhi mama Vero, kisha mshenga akamalizia kwa kusema,
" hii ni kama shukrani ya muoaji kwako, kwa malezi na kumkuza binti yako mpaka alipofika".

Mama Vero karibia kidogo aanguke chini!,
kutokana na bashasha na hamu ya kutaka kujua kilichokuwa ndani ya bahasha hiyo, huku akitetemeka mikono ,akapokea bahasha na kuifungua,

ghafla!,
Mama Vero akaanza kujiropokea maneno yasiyokuwa na mbele wala nyuma kutokana na furaha, baada ya kukutana na vitita vya misimbazi vilivyo viringishwa kwa raba bendi(rubber band) akasema,
" Yani heshima ya mwanangu Turi imeniheshimisha leo!,
shida Vero ni mtukutu kuriko dada yake, mmh! mmh! mmh!,

Kwahiyo!, Amani Baba!, umeponea hospitali au kwa mganga!?, mmh! mmh!, maana daah nililia mimi kwa kukuonea huruma ,nikasema Loooh!,
ivi kijana wangu atapona kweli huyu, ila mshenga hana baya naye yaaaani we acha tu!".

Kwa kifupi, Mama Vero alikuwa kama kavurugwa akili, hata mwanaye Vero alishangaa akajisemea kimya kimya ,

" Mmmh! , Mama kwa kupenda hela, sasa mbona maneno anayo yasema simuelewi kabisa mmmh!, wala hajiulizi watu wanamchukuliaje!".

Amani naye, akatoa kauli yake juu ya ujio wao, akasema,
" Mama!, hiyo ni mahali ya kumuoa binti yako Vero, nimejivuta vuta nimepata milioni tano, ingawa Sio nyingi, ila naamini itawasaidia kwa vitu vidogo vidogo kwa kipindi hiki.

Na kuhusu swala la uchizi, kiukweli mimi sikuwa chizi hata kidogo, bali nilitaka tu Kutafuta mwanamke mwenye mapenzi ya kweli,
na mwenye nidhamu bila kujali mtu aliyekutana naye yupoje, na kutoka moyoni nasema hapa mbele yako, Turi ndiye mwanamke sahihi".

Ghafla!, mama Vero akapiga magoti huku akimwaga machozi na kuomba msamaha, akasema,
" mwanangu Turi!, nisamehe Sana mwanangu,
hakuna mkamilifu, nakushukuru Sana mwanangu bila wewe leo nisingefurahi hivi mimi".

Turi akamjibu Mama yake kwamba,
"usijali mama , mimi nimeshakusamehe mbona!, usiwe na wasiwasi wowote ,mkubwa hakosei".

Baada ya maongezi hayo kuisha, Amani, Turi na mshenga wakaingia kwenye Gari Lao kisha wakaondoka.

Mara tu baada ya gari kuondoka, .mama Vero akasonya huku akibinua mdomo na kukunja ndita , akasema,
" Mwanangu Vero, usijali, usiwe na hudhuni yoyote mwanangu, siwezi kukubari kuona Turi anaolewa na tajiri kiasi kile ,halafu wewe ubaki nyumbani!, tena kosa walilolifanya ni kunipa hela ambayo, itanisaidia kwenda kwa mtaalam ahaha ahahah!!,
mimi ndo mama Vero wa ukwee' eeh!, haya futa machozi mwanangu kipenzi.

Mimi dunia hii nina mtoto mmoja tu!, ambaye ni wewe, hao mayatima mimi siwajui fwiiiiiiiii!!".

ITAENDELEA...,

JE wajua kwamba unaweza kukamata sms za mwenza wako anazochart na watu wake na ukazipata kupitia simu yako bila yeye kujua??

Kwa huduma ya sms tracking jiunge na group letu whatsapp
https://chat.whatsapp.com/KpHkiAUYVKQIYYgbgsl8HT?mode=ems_copy_c

Au ncheki whatsapp 0710204647 nkuunge na group

#storytelling #fyp #simulizinasauti #story
Tangazo - Hostinger 2026 on fire
Hostinger 2026 on fire
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

๐ŸŽ™๏ธ WALIMWOZESHA NA CHIZI KUMBE NI TAJIRI!(Part 4)



ILIPOISHIA...,

Amani, Turi pamoja na mshenga, wakakaa kwenye viti vilivyoletwa na Vero.
Na Baada ya kukaa ,mshenga akasema,
" mama, Sisi hatuna muda Sana hapa, ila tumekuja kuleta kidogo ambacho kijana wetu amebarikiwa nacho, nadhani yeye mwenyewe atasema mengi".

Kisha mshenga akatoa bahasha iliyotuna kweli kweli!, na kumkabidhi mama Vero, kisha mshenga akamalizia kwa kusema,
" hii ni kama shukrani ya muoaji kwako, kwa malezi na kumkuza binti yako mpaka alipofika".

Mama Vero karibia kidogo aanguke chini!,
kutokana na bashasha na hamu ya kutaka kujua kilichokuwa ndani ya bahasha hiyo, huku akitetemeka mikono ,akapokea bahasha na kuifungua,

ghafla!,
Mama Vero akaanza kujiropokea maneno yasiyokuwa na mbele...

๐Ÿ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/walimwozesha-na-chizi-kumbe-ni-tajiri-part-4

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu ยท dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi walimwozesha-na-chizi-kumbe-ni-tajiri-part
๐ŸŽ™๏ธ WALIMWOZESHA NA CHIZI KUMBE NI TAJIRI!(Part 5)
๐ŸŽ™๏ธ WALIMWOZESHA NA CHIZI KUMBE NI TAJIRI!(Part 5)
๐ŸŽ™๏ธ WALIMWOZESHA NA CHIZI KUMBE NI TAJIRI! (Part 3)
๐ŸŽ™๏ธ WALIMWOZESHA NA CHIZI KUMBE NI TAJIRI! (Part 3)
๐ŸŽ™๏ธ WALIMWOZESHA NA CHIZI KUMBE NI TAJIRI! (Part1)
๐ŸŽ™๏ธ WALIMWOZESHA NA CHIZI KUMBE NI TAJIRI! (Part1)
๐ŸŽ™๏ธ WALIMWOZESHA NA CHIZI KUMBE NI TAJIRI! ( Part 6)
๐ŸŽ™๏ธ WALIMWOZESHA NA CHIZI KUMBE NI TAJIRI! ( Part 6)
๐ŸŽ™๏ธWALIMWOZESHA NA CHIZI KUMBE NI TAJIRI! (Part 2)
๐ŸŽ™๏ธWALIMWOZESHA NA CHIZI KUMBE NI TAJIRI! (Part 2)
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

ZIMESOMWA ZAIDI

โ€ŽTUNDA LA  DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

โ€ŽTUNDA LA DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

8.9K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

5.53K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya tisa.  ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya tisa. ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

3.24K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya tatu.  ๐Ÿ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya tatu. ๐Ÿ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...๐Ÿ‘‡

2.18K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya sita.  ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya sita. ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

1.93K
I LOVE YOU DADY ๐Ÿ’˜โค๏ธ๐Ÿ’˜10

I LOVE YOU DADY ๐Ÿ’˜โค๏ธ๐Ÿ’˜10

1.91K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya nane.  ๐Ÿ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya nane. ๐Ÿ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...๐Ÿ‘‡

1.72K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 16.  ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 16. ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

1.65K
RUNGU LA KIPOFU 21.

RUNGU LA KIPOFU 21.

1.65K
โคโค MTOTO WA MKE WANGU๐Ÿ˜›๐Ÿ˜›  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

โคโค MTOTO WA MKE WANGU๐Ÿ˜›๐Ÿ˜› Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

1.64K
Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest