Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

*AFANDE NILEGEZEE KAMBA 😊😫😫* *SEHEMU YA SITA*  Kabla hata sijamjibu kitu, akanirukia na kuanza kunishika shika hadi Mwili wangu ukaanza kulegea.
Gonga94 Β· Stories

*AFANDE NILEGEZEE KAMBA 😊😫😫* *SEHEMU YA SITA* Kabla hata sijamjibu kitu, akanirukia na kuanza kunishika shika hadi Mwili wangu ukaanza kulegea.

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
Yani ukiniambia tulifika kitandani saa ngapi hata sielewi.

Ninacho jua siku hiyo alinitengeneza kisawasawa. Alikua anafanya utadhani hatafanya tena. Nikaona hapa nisipo toa machozi hawezi kuniacha. Nilijikuta sio kulia tu mpaka kuomba niliomba "Afande tafadhali nilegezee kamba utaniua.....

Akanijibu "ukitaka nikuache sema unafuta kauli yako lasivyo tunaendelea mpaka kunakucha"

Wee mbona Nikakubali na kusema kile alichotaka niseme ndipo akaniacha. Tena alinisukuma pembeni kama mzigo.

"Haitajirudia tena kulala na tapeli! Ni leo tu sababu nilitaka kukufunza adabul..........vaa nguo zako, toka humu ndani Hiki si chumba chako"

Nikainuka taratibu nikavaa nguo zangu kwa aibu Akanipeleka kwenye chumba kingine "hiki ndicho kitakuwa chumba chako" alisema

Eti mimi niwa kulala stoo??? Mimi Ginah??? "Stoo??"

"Nimekuhurumia sana ningekulaza barazanil... ukitaka kuoga au kutumia choo utatumia vyumba vingine, ila kulala ni hapa"

Nilibaki nashangaa Nikamuuliza, "sasa nitalalaje chini? Hakuna hata godoro"

"We tapeli, hapa umekuja kulala??? Hela nitakayo kulipia deni lako utaifanyia kazi haitoki kirahisi! Hakuna pesa ya buree"

Nilihisi vibaya sana "please sijala tangu jana, naweza kupata kitu cha kula?"

"oooh kweli? Subiri kidogo"

Nikafikiri anaenda kuniletea chakula, kumbe akarudi na mihogo mibichi mkononi na maji kwenye kidumu

"hichi ndicho chakula chako. Mpaka siku nitakayo amua kukubadilishia ratibal Alafu inakaa sana tumboni

"Unanitegemea nile mihogo mibichi?"

"kama huwezi acha. Lakini ukitoka hapa, unaenda moja kwa moja selo. Kumbuka makubaliano yetu. Umenielewa?"

Nikainama kichwa nikasema, "ndiyo"

"sasa ratiba yako ipo ivii, Kila siku lazima uamke saa kumi na moja alfajiri. Ukiamka, unasafisha nyumba yote, unapiga deki, unafagia hadi nje ya fence. Baada ya hapo, unafua nguo na vyombo. Nikiamka saa moja asubuhi, nataka nikute tayari umeniandalia kahawa nyeusi (black cofee). Na usithubutu kupika hadi nikikuambie mwenyewe. Utakula mihogo hii mibichi na maji mpaka nikuambie vinginevyo. Umenielewa?"

Nikajibu "ndiyo" kisha Akatoka bila kusema kitu kingine.

Pale pale Nilianza kulia. Nilimkumbuka baba, nilikumbuka nyumbani Nikaanza kujilaumu. Nikaamua nijipe moyo kwamba nimalize huu mwezi mmoja, kisha nirudi kwetu niolewe, maana mateso haya yalikuwa ya kutisha

Nililala nalia mpaka asubuhi. Kumbuka mimi ndiye mtoto wa pekee nyumbani kwetu, nimetoka kwenye familia yenye pesa. Kazi zote za ndani zilikuwa zinafanywa na wasichana wa kazi, mimi sikuwahi kupika, kusafisha, wala kufua. Nilichojua ni kula, kulala na kwenda club.

Na pia sikuwa mtu wa kuamka mapema. Saa kumi na moja asubuhi kwa mimi ndiyo muda wa kurudi nyumbani kutoka club, si muda wa kuamka.

Kwa hiyo nililala mpaka... Elton (OCS) akaamka, akaoga, akajiandaa kuenda kazini. Aliposhuka chini, alitarajia kukuta kahawa yake nyeusi mezani ila guess what?? mimi bado nilikua nimelala! Nilikuwa sijafanya chochote.

Akapandwa na hasira kali. Akaja moja kwa moja

store alikoniweka. Akanikuta bado nimelala. Akaniangalia kwa hasiramaana yeye hawezi kuanza siku bila kunywa kahawa. Akaenda jikoni, akachukua ndoo ya maji baridi akarudi nayo store.

Unajua alifanya nini? Akanimwagia maji yote! Nikashtuka kama nimepigwa shoti ya umeme, nikainuka haraka. Nikamuona amesimama mbele yangu, uso umejaa hasira.

Akauliza "we tapeli unajua saa ngapi saa hizi?"

"samahani, nimechelewa kuamka

"umechelewa kuamka?? Nilikuambia uamke saa. kumi na moja, usafishe, halafu uniandalie kahawa nyeusi. Iko wapi kahawa yangu?"

"naenda kukuandalia sasa hivi!.....sorry......soryy"

Nikaenda mbio jikoni, nguo zangu zikiwa zimelowa maji. Lakini sikua najua hata namna ya kutengeneza kahawa nyeusi! Jiko lenyewe kuwasha ni mtihani. Wakati wote nyumbani

kwetu, mimi sikuwahi hata kuingia jikoni.

Sasa fikiria, nitamtengenezeaje kahawa huyu jamaa mwenye hasira hivi??.

Unajua nini kitatokea?

Nakuja....

Maoni

You're not logged in


profile
mjukuu 18 Oct 2025 19:48
*AFANDE NILEGEZEE KAMBA 😊😫😫*
*SEHEMU YA SITA*

Kabla hata sijamjibu kitu, akanirukia na kuanza kunishika shika hadi Mwili wangu ukaanza kulegea.
Tangazo - My true love mwanzo Hadi Mwisho
My true love mwanzo Hadi Mwisho
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

*AFANDE NILEGEZEE KAMBA 😊😫😫* *SEHEMU YA SITA* Kabla hata sijamjibu kitu, akanirukia na kuanza kunishika shika hadi Mwili wangu ukaanza kulegea.

Yani ukiniambia tulifika kitandani saa ngapi hata sielewi.

Ninacho jua siku hiyo alinitengeneza kisawasawa. Alikua anafanya utadhani hatafanya tena. Nikaona hapa nisipo toa machozi hawezi kuniacha. Nilijikuta sio kulia tu mpaka kuomba niliomba "Afande tafadhali nilegezee kamba utaniua.....

Akanijibu "ukitaka nikuache sema unafuta kauli yako lasivyo tunaendelea mpaka kunakucha"

Wee mbona Nikakubali na kusema kile alichotaka niseme ndipo akaniacha. Tena alinisukuma pembeni kama mzigo.

"Haitajirudia tena kulala na tapeli! Ni leo tu sababu nilitaka kukufunza adabul..........vaa nguo zako, toka humu ndani Hiki si chumba chako"

Nikainuka taratibu nikavaa nguo zangu kwa aibu Akanipeleka kwenye chumba kingine "hiki ndicho kitakuwa chumba chako" alisema

Eti mimi niwa kulala...

πŸ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/afande-nilegezee-kamba-sehemu-ya-sita-kabla-hata-sijamjibu-kitu-akanirukia-na-kuanza-kunishika-shika

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle #BeautyBattle #AfricaVsWorld #Tanzania #Kenya #Congo #Rwanda #Burundi #SouthAfrica #USA #VoteNow #DebateTime #Trending πŸ“ Follow the ommy khan Tanzania channel on WhatsApp: https://whatsapp.com/channel/0029VbCg0JyFsn0hCN1ByD44

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu Β· dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi afande-nilegezee-kamba-sehemu-ya-sita-kabla-hata-sijamjibu-kitu-akanirukia-na-kuanza-kunishika-shika
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

NAKUPENDA BILA MIPAKA 141 - 144 MWISHO WA SEASON THREE

NAKUPENDA BILA MIPAKA 141 - 144 MWISHO WA SEASON THREE

431
πŸ’‹ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO πŸ’‹ (MWISHO SEASON 1) 19 -- 20

πŸ’‹ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO πŸ’‹ (MWISHO SEASON 1) 19 -- 20

39
Zamani kidogo nilikuwa darasa la saba siku moja mama aliongea na Mimi akanambia baba ako anarudi leo

Zamani kidogo nilikuwa darasa la saba siku moja mama aliongea na Mimi akanambia baba ako anarudi leo

3

ZIMESOMWA ZAIDI

β€ŽTUNDA LA  DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

β€ŽTUNDA LA DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

12.05K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.73K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya tisa.  πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya tisa. πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

3.92K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya sita.  πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya sita. πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

3.7K
MY WANGU❀️ sehemu ya 108

MY WANGU❀️ sehemu ya 108

3.12K
MY WANGU❀️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❀️ sehemu ya 119 na 120.

3.04K
MY WANGU❀️ sehemu ya 116 na 117

MY WANGU❀️ sehemu ya 116 na 117

2.91K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 20.  πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 20. πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

2.88K
MY WANGU❀️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❀️ sehemu ya 106 na 107

2.78K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 16.  πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 16. πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

2.72K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
Zamani kidogo nilikuwa darasa la saba siku moja mama aliongea na Mimi akanambia baba ako anarudi leo Post Mpya
Zamani kidogo nilikuwa darasa la saba siku moja mama aliongea na Mimi akanambia baba ako anarudi leo
@majario LIVE

toka safari(Hawa ni mama na baba angu wa kunizaa) mama alinambia baba akifika tuu chochote atakachokwambia kubali nikamwambia Kuna nini akanambia Nisikilize Mimi nikamwambia nakusikiliza akasema leo utalala chumbani...

πŸ’‹ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO πŸ’‹ (MWISHO SEASON 1) 19 -- 20 Post Mpya
πŸ’‹ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO πŸ’‹ (MWISHO SEASON 1) 19 -- 20
@majario LIVE

19 Aliingia kaka yake na Glad Mimi ndio nilikuwa namalizia kupika jikoni, G nimekuletea ice-cream 🍨🍦 unayopenda nilinyamaza kimya hadi alipokuja jikoni. Glad ametoka mara moja nipo mimi peke yangu nilikuwa namalizia...

NAKUPENDA BILA MIPAKA 141 - 144 MWISHO WA SEASON THREE Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA 141 - 144 MWISHO WA SEASON THREE
@majario LIVE

:141 Nikamwambia kwa ujumbe β€œBoss ni usiku sana, nenda nyumbani, tutaongea kesho naomba nipumzike.” Akanijibu β€œsitaondoka hapa mpaka uje kunisikiliza.” Nikamuonyesha Dorice, Dorice akasema β€œkamsikilize Labda ni muhimu.” Nikamwambia Dorice β€œkusema kweli mimi roho...

JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 15 Post Mpya
JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 15
@majario LIVE

Mwandishi:lissa mwalla Simu ilikatwa,nilichanganyikiwa,iv nimeskia kweli au ni mawenge yangu?keanu ananisaliti?yani maneno yake makavu yote aliyoniambia hayakua na maana sikuyajali kabisa nilijali mwanamke alieongea.nikasema hapana ngoja,nikapiga simu iliita ikakatwa,nilipiga tena ikakatwa,nikapiga...

Kinachomtisha Mgosi ni kuwa Edna Lema anawachezaji walioonekana wa kawaida Simba Post Mpya
Kinachomtisha Mgosi ni kuwa Edna Lema anawachezaji walioonekana wa kawaida Simba
@majario LIVE

ila sasa wapo kwenye kiwango cha hali ya juu kiasi cha baadhi kuitwa timu zao za taifa. Diana Mnally Ritticia Nabbosa Precious Christopher Wincate Kaari Aisha Djafar Edna Lema...

JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 14 Post Mpya
JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 14
@majario LIVE

Mwandishi:lissa mwalla Mmmh nilihisi utumbo unacheza, kwa nn haruhusiwi ndoa sasa? Au ameoa? Nilijiuliza sana, keanu akasema sijakuelewa kwa nn siruhusiwi kuoa sasa? Akasema kuna mashart katika kila kanisa ili...

πŸ’‹ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO πŸ’‹ 18 Post Mpya
πŸ’‹ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO πŸ’‹ 18
@majario LIVE

Mida ya jioni vipindi vilipoisha tuliongozana na Glad hadi kwa kaka yake ilikuwa ni saa kumi na moja za jioni hivyo alikuwa kasharudi toka kazini tulimkuta nyumbani 🏑. Karibuni...

CHAGUO LA MOYO ❣️ 8 -- 10 Post Mpya
CHAGUO LA MOYO ❣️ 8 -- 10
@majario LIVE

SEHEMU YA 08 "Kwanza haoni ajabu kukufukuza,na akisema hakutaki ujue hakuna was kukutetea hata mama hataongea .... kwaiyo muangalie hivyo hivyo kauli yake moja tu inakuondoa........... Nicole aliposema hivyo nilimuogopa sana...

Iran rejects peace plan and mocks Trump Akhtar Makoii Post Mpya
Iran rejects peace plan and mocks Trump Akhtar Makoii
@mjukuu LIVE

Screengrab from video put out by Iranian state media Tasnim News of an Iranian missile with Trump's name on it, in response to the great gift from Iran Trump claimed...

NAKUPENDA BILA MIPAKA 131 - 140 SEASON THREE Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA 131 - 140 SEASON THREE
@majario LIVE

:131 Nikawa natoa ile bahasha. Vile natoa, namuona Boss Yule anakuja. Ni wazi alisikia kengele au aliniona kwa juu. Nikasema kwa ndani β€œniondoke?” Ataona Kama namkimbia, Nikajikaza pale kusubiri. Basi kweli alifika,...

MFALME KIPOFU  27 Post Mpya
MFALME KIPOFU 27
@mjukuu LIVE

Sehemi..ya............ 27 (FINAL) Whatsapp.............0748697173 Ilipoishia sehemu iliyopita........ Nawauliza Princess Nailet yupo wapi? alipotazama Pembeni hakuamini kuona mwili wa binti yake....... ENDELEA NAYO...... Mfalme Tengu alilia kama mtoto mdogo "Pole sana mfalme kwa kipindi kigumu unachopitia Prince...

MFALME KIPOFU  25 -- 26 Post Mpya
MFALME KIPOFU 25 -- 26
@mjukuu LIVE

Sehemi..ya............ 25 Whatsapp.............0748697173 ilipoishia sehemu iliyopita....... Maneno ya Lindiwe yalimfanya Princess Nailet kutabasamu nakutulia kuwaacha waongonzane watu watatu tu Malikia,Prince Yao na Amma mwenyewe kwenda kutafuta iyo dawa...... ENDELEA NAYO.......... Malikia andwaa aliongoza msafara wa...

MFALME KIPOFU  23 -- 24 Post Mpya
MFALME KIPOFU 23 -- 24
@mjukuu LIVE

Sehemi..ya............ 23 Whatsapp.............0748697173 ilipoishia sehemu iliyopita....... Maneno yale yalipenya kwenye masikio ya Amma na baadhi ya watu waliokuwa pale wakitazama tu badala ya kutoa msaada,Babaaaaa............ ENDELEA NAYO.......... "Baba amka",Amma alimwita baba yake, Aliye kuwa tayali amepoteza...

MFALME KIPOFU  21 -- 22 Post Mpya
MFALME KIPOFU 21 -- 22
@mjukuu LIVE

Sehemi..ya............ 21 Whatsapp.............0748697173 Ilipoishia sehemu iliyopita........ Malikia alichanganyikiwa baada ya kusikia maneno yale ya dakitari Malikia aliita walinzi na ,kuwapa maagizo ya kuwakamata matabibu wote...... ENDELEA NAYO....... Walisubili pakuche msako uanze wa kuwakamata matabibu...

MFALME KIPOFU  19 -- 20 Post Mpya
MFALME KIPOFU 19 -- 20
@mjukuu LIVE

Sehemi..ya............19 Whatsapp.............0748697173 Ilipoishia sehemu iliyopita...... Ni mapenzi ya ajabu aliyokuwa nayo Princess Nailet kwa Yao licha ya kumfahamu kwa mda mfupi tu lakini aliteka sehemu kubwa ya moyo wake... ENDELEA NAYO....... Aliendelea na safari ya...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest