Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MAMBO YA KUFANYA PALE AMBAPO MWENZA WAKO ANAPOKUNUNIA /MWENZA WAKO ANAPOKAA KIMYA TU BILA SABABU ZOZOTE ZA MSINGI
Gonga94 · Stories

MAMBO YA KUFANYA PALE AMBAPO MWENZA WAKO ANAPOKUNUNIA /MWENZA WAKO ANAPOKAA KIMYA TU BILA SABABU ZOZOTE ZA MSINGI

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
MAMBO YA KUFANYA PALE AMBAPO MWENZA WAKO ANAPOKUNUNIA /MWENZA WAKO ANAPOKAA KIMYA TU BILA SABABU ZOZOTE ZA MSINGI
Mwanamke huwa kiumbe ambaye anakuwa na mabadiliko ya hisia ghafla (mood swings) Kwa maana dakika moja anakupenda sana kisha dakika inayofuata anakuchukia hataki hata kukuona.

Lakini hivi sasa wapo wanaume wenye kuonyesha tabia hizo za kununa, kususa, kugoma kulala, kulala mzungu wa nne,kukaa na hasira kupitiliza kwa muda mrefu bila sababu zozote za msingi.

Kwa wanaume wenye mood swings ukifanya uchunguzi utakuta wengi wamekulia familia ambazo hakuna mwanaume imara ambaye ni mfano bora wa kuigwa hivyo wao hujikuta wanaiga hulka ya kununa, kususa,kukunja sura kwa ghadhabu,kuwa na gubu pamoja na kisirani kutoka kwa mama zao na dada zao.

Hivyo leo tuangalie muhtasari wa namna ya kukabiliana na tabia ya gubu, kisirani,kununa, kususa, kugoma kutoa unyumba,kugoma kulala pamoja,kulala mzungu wa nne ambapo tabia hizo mwenza wako akiwa nazo zinaweza kukusumbua.

Je imekuwa kawaida kuona tabia zifuatazo kwa mwenza wako?
-Anakata mawasiliano ghafla bila sababu zozote za msingi na endapo ukiuliza kuhusu mabadiliko ya tabia zake atakugeuzia kibao kisha unazuka ugomvi mkubwa sana.

-Atakuomba fedha nyingi sana kuliko uwezo wako kisha ukisema hauna fedha ananuna, anaanza kulalamika,anadai haumpendi,anatishia muachane,anakutangaza vibaya.

-(mwanamke),anagoma kupika, kufua, kufanya usafi wa nyumba, kutandika kitanda,kuandaa watoto kwenda shule,anatoroka kwenda nyumbani kwao kusingizia ananyanyaswa,anabamiza mlango kwa ghadhabu,au anapopika anaunguza chakula,au akinyosha nguo zako anaunguza kwa makusudi kisha anasingizia bahati mbaya .

-Mwenza wako anakuwa na hasira kupitiliza, huzuni, majonzi, upweke kupitiliza,kila juhudi za kumfurahisha zinazidisha hasira zake.

-Mara kwa mara mnakuwa kwenye majibizano, kutukanana, kudharauliana, kushutumiana, kufokeana,kupeana vitisho, kutishia kujiua, kutishia kukudhuru,kutishia kukupokonya zawadi zake alikununulia.

-Imekuwa mara kwa mara unapiga magoti,unaomba msamaha mara kwa mara, kumbembeleza,kumpa ushauri, kumkumbusha wema ambao umemfanyia,kuanza kulia ili kumshawishi mwenza wako abadili tabia..

Kwanini watu hupenda kuwanunia wenza wao ?
FAHAMU SABABU ZENYE KUCHOCHEA WENZA KUNUNIANA.
Zifuatazo ni sababu zenye kufanya watu kuwanunia wenza wao.
1.Kushindwa kufikia muafaka.
Kama mwanaume na mwanamke wameshindwa kufikia muafaka labda kuhusu kuzaa,kusomesha watoto, matumizi ya uzazi wa mpango,malezi ya watoto, matumizi ya fedha,kutoka pamoja "Out",kukatazwa kwenda nyumbani kusalimia wazazi (mwanamke) husababisha mwanamke au mwanaume kuamua kununa, kususa, kugoma kutoa unyumba, kugoma kulala pamoja,kulala mzungu wa nne,kukaa kimya kama bubu muda wote,kujitenga kila wakati mmoja wao anapotaka kujenga ukaribu.

2.Safari kuahirishwa,au kunyimwa fedha ,au kukataliwa kitu chochote kwa mfano mwanaume anataka mwanamke amchukulie mkopo kwa kuweka dhamana kazi au mali zake ambazo mwanaume hajachangia hata senti tano kisha mwanamke amekataa,au mwanamke anataka kusomeshwa lakini mwanaume amekataa,au mwanamke anataka anunuliwe gari,au apewe mtaji lakini mwanaume amekataa hivyo husababisha hisia za chuki,wivu,kinyongo,kuitana majina ya wanyama kama mbwa na nguruwe kama kisasi cha maumivu ya kukataliwa.

3.Kukaa kimya kama shinikizo la mabadiliko ya tabia.Kwa mfano mwanaume anataka mapenzi kinyume na maumbile kisha mwanamke amekataa hivyo mwanaume anaweza kuhama nyumba,au kuongea na michepuko mbele ya mke wake,au anasusia chakula,kugoma kulipa ada za watoto,kugoma kuhudumia familia kama njia ya kulipiza kisasi.Lengo la yote hayo ni kumshinikiza binti akubali kuingiliwa kinyume na maumbile.

4.Kujilinda kihisia.
Kuna watu ambao tangu utotoni walijifunza kukaa kimya kama silaha ya kujilinda dhidi ya mateso kutoka kwa wazazi.kwa mfano mtoto anafokewa, kutukanwa, kujibiwa vibaya, kupelekeshwa,kutishiwa kuuawa hivyo kama anajua akiongea atakuwa kwenye matatizo ikiwemo kipigo,kunyimwa chakula,kulazwa nje huamua kujilinda dhidi ya kipigo cha mzazi kwa kukaa kimya kwa sababu anajua baba au mama ni mtuwa hasira kupitiliza hivyo kujibu matusi ya mzazi kunaweza kumletea matatizo zaidi.
Wengine walijifunza kukaa kimya utotoni kama njia ya kushinikiza kupewa mahitaji yao kutoka kwa wazazi wao.

5.Kukaa kimya ili kuepuka ugomvi.Baadhi ya watu wanajijua wapo na hasira kupitiliza vilevile huwa na desturi ya kuropoka hovyo hivyo huamua kukaa kimya ili kuepuka kuongea kitu kibaya kisha baadaye aingie kwenye mikono ya sheria.Mtu mwengine anajua akiongea tu ghafla majibizano, kutukanana, kudharauliana, kushutumiana, kufokeana, kupeana vitisho,kupeana kashfa,kuvujisha siri za faragha kunaweza kujitokeza.

6.Kukaa kimya kama adhabu kwa mwenza au mtoto Baadhi ya watu tangu utotoni walijifunza kukaa kimya kama adhabu kwa wakosaji wao.Kwa mfano mzazi anakaa kimya haongei na mtoto kwa sababu mtoto amefeli masomo, mwengine anakaa kimya kama njia ya kuepuka usije kuomba fedha za matumizi,mwengine anakaa kimya ili kupunguza ukaribu na wewe,mwengine anakaa kimya tu ili umuombe msamaha,uanze kulia,upige magoti,umnyenyekee.

7.Kukaa kimya kama njia ya kutafuta kisingizio cha kuvunja mahusiano.Mtu mwengine anakuacha ghafla kimyakimya haongei chochote anafanya "Ghosting) kwa maana anapotea ghafla,simu hapokei, ukituma sms hajibu, usipomtafuta hakutafuti,ukikaa kimya anakaa kimya hata miezi sita (6) huyu anafanya hivyo ili ukate tamaa muachane lakini baadaye atarudi kusingizia shetani alimpitia hivyo anataka mrudiane lakini anakuwa na "Target " zake umpe faraja na msaada wa kifedha tu ili aondoke zake kwenda kwa mwenza wa HADHI yake.

MADHARA YA KUNUNIANA/KUKALIANA KIMYA
UNapoamua kununa, kususa, kugoma kutoa unyumba, kugoma kulala pamoja, kulala mzungu wa nne, kukaa kimya kama bubu muda wote bila sababu zozote za msingi jiandae kwa matoleo yafuatayo
1.MAELEWANO KUKOSEKANA
Wewe au mwenza wako mmoja atakuwa na hasira kupitiliza,hisia za kisasi, chuki, kinyongo,upweke kupitiliza, kupoteza hisia za mapenzi, kupoteza hamu ya kula au kula sana bila mpangilio, kukonda,kushindwa kufanya kazi.

2.UPWEKE KUONGEZEKA
Mmoja au nyote wawili,upweke kupitiliza utajitokeza.
Unaweza kuelemewa na majukumu pale ambapo mwenza wako hakupi ushirikiano wowote.Kwa mfano mwanamke akigoma kupika, kufua, kufanya usafi wa nyumba, kutandika kitanda, kuandaa watoto kwenda shule huku anakaa kimya tu haongei chochote ,au yupo busy kuchati tu,au anatoroka kwenda nyumbani kwao kusingizia ananyanyaswa mara kwa mara husababisha hisia za upweke kupitiliza.

3.UGOMVI KUONGEZEKA
Pale ambapo mnakaa kimya bila kuongea chochote,sio kila mtu ni mvumilivu.
Mmoja anaweza kuanza kuporomosha matusi ya nguoni,kisha mtaaanza kutukanana, kudharauliana, kushutumiana, kufokeana, kupeana vitisho, kutishia usalama wa kila mmoja,tishio la kuachana,mmoja ataonekana mbishi,mbabe,mtemi, mjuaji, hashauriki, haambiliki,mtu wa misimamo mikali sana.

4.Manyanyaso kuongezeka.
Mwanaume au mwanamke mwenye wivu wa mapenzi kupindukia ataamua kumtawala mwenzake kimabavu kwa kumpokonya simu, kumnyang'anya ATM card,kumpangia marafiki,kumtangaza vibaya mwenzake,kumlaza nje,kumlaza chooni,kumnyima chakula,kumnyima huduma za matibabu, kumpokonya hati miliki, kumchafua,kuhamasisha mwenza wake kutengwa na jamii.

Ufumbuzi wake
Kuna nja nne (4) za ufumbuzi wake.Kwa muhtasari
1.Pata utulivu wa akili-Epuka kutegemea faraja ya mwenza wako,epuka kupiga simu mfululizo, kutuma sms mfululizo, kujitumisha zawadi na fedha,epuka kuanza kulia,epuka kumbembeleza.Ishinde hofu ya mahusiano kuvunjika.

2.Mpe mwenza wako nafasi
Kama mwenza wako akianzisha mahusiano mapya kipindi umempa nafasi ya kupata utulivu wa kiakili basi achana naye.Uguza kidonda chako anza upya.

3.Tumia lugha fasaha yenye kueleweka na heshima,eleza unataka nini na hautaki nini.Kama ukifanya makosa omba msamaha,kama mwenza wako hataki kusamehe basi muachane kwa amani.
4.Weka mipaka.Tambua tabia gani unaweza kuvumilia na tabia gani hauwezi kuvumilia.
haya yapo ndani ya kitabu cha JINSI YA KUPONA MAUMIVU MAKALI SANA MOYONI.

#Spirit_Warrior
#Wounded_Healer
????????

Kama tatizo lako ni kubwa zaidi tunaweza kuwasiliana kwa ajili ya Counselling session na ufafanuzi wa kilichoandikwa hapo juu na utaona mabadiliko na kujisikia nafuu ndani ya muda mfupi baada ya mazungumzo.(Counseling kwa njia ya simu gharama Tshs 30000 , kuonana uso kwa uso Tshs 40000

Kwa wapenzi wa kusoma vitabu unaweza kupata nakala zangu orodha ipo chini ????

Kupata kitabu cha
1.JINSI YA KUPONA MAUMIVU MAKALI SANA MOYONI - (Softcopy Tsh 30000)
2.UTULIVU WA AKILI KIPINDI KIGUMU (Softcopy)
3.FIKRA ZAKO FURAHA YAKO (softcopy)
4.TIBA YA MSONGO WA MAWAZO (by & Softcopy)
5.MALEZI YA UBONGO KISAYANSI( hardcopy & softcopy)
6.TABIA ZA WATU WALIOFANIKIWA (Hardcopy & softcopy)
7.MISINGI 10 YA FURAHA SIKU ZOTE (hardcopy &softcopy)
8.BADILI FIKRA ZAKO BADILI MAISHA YAKO
BEI Kitabu kimoja softcopy 5000 isipokuwa kitabu namba 1 bei yake ni Tsh 30000, hardcopy moja 10000

Mawasiliano
+255766862579
+255622414991

Imeandikwa na Psychologist
Said Kasege
Temeke,Dar es salaam

Maoni

You're not logged in


Tangazo - My true love mwanzo Hadi Mwisho
My true love mwanzo Hadi Mwisho
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MAMBO YA KUFANYA PALE AMBAPO MWENZA WAKO ANAPOKUNUNIA /MWENZA WAKO ANAPOKAA KIMYA TU BILA SABABU ZOZOTE ZA MSINGI

MAMBO YA KUFANYA PALE AMBAPO MWENZA WAKO ANAPOKUNUNIA /MWENZA WAKO ANAPOKAA KIMYA TU BILA SABABU ZOZOTE ZA MSINGI
Mwanamke huwa kiumbe ambaye anakuwa na mabadiliko ya hisia ghafla (mood swings) Kwa maana dakika moja anakupenda sana kisha dakika inayofuata anakuchukia hataki hata kukuona.

Lakini hivi sasa wapo wanaume wenye kuonyesha tabia hizo za kununa, kususa, kugoma kulala, kulala mzungu wa nne,kukaa na hasira kupitiliza kwa muda mrefu bila sababu zozote za msingi.

Kwa wanaume wenye mood swings ukifanya uchunguzi utakuta wengi wamekulia familia ambazo hakuna mwanaume imara ambaye ni mfano bora wa kuigwa hivyo wao hujikuta wanaiga hulka ya kununa, kususa,kukunja sura...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/mambo-ya-kufanya-pale-ambapo-mwenza-wako-anapokununia-mwenza-wako-anapokaa-kimya-tu-bila-sababu-zozo

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi mambo-ya-kufanya-pale-ambapo-mwenza-wako-anapokununia-mwenza-wako-anapokaa-kimya-tu-bila-sababu-zozo
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 44 na 45

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 44 na 45

1.19K
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 43

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 43

1.11K
*AFANDE MILLAN😎* *46&47*

*AFANDE MILLAN😎* *46&47*

800
MIRANDA (Binti Yangu)   SEHEMU YA 19 - 20

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 19 - 20

270
MIRANDA (Binti Yangu)   SEHEMU YA 15

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 15

259
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 17 - 18

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 17 - 18

244
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 16

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 16

243
SHAMIRA 44 kwa 45

SHAMIRA 44 kwa 45

175
ACHA NIKUPENDE ❤️ 3  to 5

ACHA NIKUPENDE ❤️ 3 to 5

117
*KISASI CHA SINDELE BAADA YA KUAMBUKIZWA UKIMWI KWA MAKUSUDI*😭😭😭. *1-4*

*KISASI CHA SINDELE BAADA YA KUAMBUKIZWA UKIMWI KWA MAKUSUDI*😭😭😭. *1-4*

103

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.67K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.39K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.81K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.31K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.9K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

2.83K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.68K
MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

2.67K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.63K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.57K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 38  na 39. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 38 na 39.
@majario LIVE

kipande cha 38 🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼 Mwandishi; lissa wa huru media Basi ndo hivyo . Nikaikosa ndoa na bwana barka.na nikawa busy na maisha yangu . Na mambo yangu. Na nikazidisha mapenzi tu kwa...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 36 na 37 namba zilikosewa endelea kusoma. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 36 na 37 namba zilikosewa endelea kusoma.
@majario LIVE

36 MPAKA 37 🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼 Mwandishi; lissa wa huru media Maua akasema khaaa yani unanitukana mimi. Kwaiyo mimi naweza kuolewa na kaka yangu. Nikasema yaa unaweza sasa kisebengo cha nini. Nakuona sana tangu...

SHAMIRA Sehemu ya 47 Post Mpya
SHAMIRA Sehemu ya 47
@majario LIVE

Wassap; 0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Basi shost alivyotoka kuoga akanmbia shamira shoga yangu nisamehe kwa yale maneno nilokwambia basi. Nikasema yapi? Akasem si yale ya kukwambia ukatoe mimba...

SHAMIRA Sehemu ya 46 Post Mpya
SHAMIRA Sehemu ya 46
@majario LIVE

🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀 Mwandishi; lissa wa huru media Nikaona aisha kakasirika akanambia sawa kama unataka kulea iyo mimba na kuzaa. Ile kulea mtoto ni gharama umae ukielewa hilo suala mapema . Mana sio...

*AFANDE MILLAN😎* *46&47* Post Mpya
*AFANDE MILLAN😎* *46&47*
@majario LIVE

Nakumbuka kuna kipindi ,nilisafiri na ibraa kikazi kwenda moro , apo nilishamuaga zena kuwa mm nasafari naenda moro kikazi, ntakaa siku 2, akanmbia hakuna shida, basi mm nikawa...

SHAMIRA 44 kwa 45 Post Mpya
SHAMIRA 44 kwa 45
@majario LIVE

🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀 Sehemu ya 44 Mwandishi; lissa wa huru media Aseeee tulichoka mno na shoga yangu asa mimi jamani.nafanya nini na hili tumbo na mwanaume hanitaki. Na ameshakana kuwa hii mimba sio yake...

MIRANDA (Binti Yangu)   SEHEMU YA 19 - 20 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 19 - 20
@majario LIVE

SONGA NAYO......... miezi kama miwili ilipita huku nikiishi Tanzania pamoja na wifi yangu kipenzi BLESS 🥰 yes amekuwa wifi yangu badala ya mtoto wangu lakini nimemfanya kama bjnti yangu nampenda huyu...

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 17 - 18 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 17 - 18
@majario LIVE

SONGA NAYO...... Mdada mie nikaanza kupiga ukelele wa furaha na bila kujigikiria mara mbili mbili nilimkumbatia Anfrey mwamba naye ni kama alitegemea hivyo maana alinipokea tena kwa hamu kubwa "Anfrey asante asante...

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 16 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 16
@majario LIVE

SONGA NAYO....... Basi ikabidi waniache, nikaingia ndani nikawa nimeloa chepechepe na binti angu nae vile vile hakunibanduka kabisa mikononi mwangu "Karibu sana baba karibi, jisikie upo nyumbani.." Nikiwa chumbani navaa niliweza kumsikia mama...

mke wangu kaniambia mtoto sio wangu nifanyaje ndugu zangu Post Mpya
mke wangu kaniambia mtoto sio wangu nifanyaje ndugu zangu
@majario LIVE

Mimi naitwa Baba Derick, Leo asubuhi mapema sana, kama kawaida yangu niliamka kwenda kutafuta riziki. Kabla sijaondoka nyumbani, niliweka shilingi elfu mbili mezani. Nilimwambia mke wangu wazi kabisa kwamba pesa...

Mwandishi wa BBC Kasra Naji amekiri hali ni mbaya ndani ya Israel ameripoti akisema "Israel ipo katika hali ya kufungwa (lockdown), Post Mpya
Mwandishi wa BBC Kasra Naji amekiri hali ni mbaya ndani ya Israel ameripoti akisema "Israel ipo katika hali ya kufungwa (lockdown),
@majario LIVE

mitaa ipo tupu hakuna watu nje kutokana na hali ya hofu ya mashambulizi ya Iran, maduka yamefungwa na hali inazidi kuwa ngumu kuvumilika kwa watu" "Hata makombora makubwa ya Hezbollah yanaanguka...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 44 na 45 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 44 na 45
@majario LIVE

Basi bwana tumefika kwake, ikabidi niwaache kisha nikatoka nikaenda super market kuwachukulia mahitaji, aseee nikawabebea kila kitu cha kula, sijuh unga ,mchele, kuku , nyama, maziwa ya mtoto mana bado...

Taarifa hii haijathibitishwa lakini watu wanaulizana itakuaje kama kweli ubalozi wa huyu bwana utakuwa umeguswa? SIO KULIPULIWA UGUSWE TU! Post Mpya
Taarifa hii haijathibitishwa lakini watu wanaulizana itakuaje kama kweli ubalozi wa huyu bwana utakuwa umeguswa? SIO KULIPULIWA UGUSWE TU!
@majario LIVE

Wataalamu wanahofia kuwa Kim Jong Un anaweza kutumia tukio hilo kama kisingizio cha kupanua uungaji mkono wake kwa Tehran, jambo litakaloleta tafarani kubwa duniani. Korea Kaskazini ina ubalozi wake jijini Tehran,...

ACHA NIKUPENDE ❤️ 3  to 5 Post Mpya
ACHA NIKUPENDE ❤️ 3 to 5
@majario LIVE

ACHA NIKUPENDE ❤️ 3 MTUNZI uhuru media Karibu WhatsApp 0794810082 Kwa jicho aliloangaliwa na Nicky ilimbidi aondoke haraka haraka akaenda jikoni huku akiwa kachukia na machozi yalimtoka bila kutegemea. Alipofika...

*KISASI CHA SINDELE BAADA YA KUAMBUKIZWA UKIMWI KWA MAKUSUDI*😭😭😭. *1-4* Post Mpya
*KISASI CHA SINDELE BAADA YA KUAMBUKIZWA UKIMWI KWA MAKUSUDI*😭😭😭. *1-4*
@majario LIVE

*_________________________________________* *Sehemu Ya 1* Ndani Ya hospital Moja kubwa wanaonekana Vijana wawili Wakiwa Wanasubiri Majibu Ya vipimo ambavyo Tayari walikuwa wamepima. "Hivi Sindele kwa mfano ikatokea Mimi nimekutwa nimeathirika utanioa au utaniacha!?" "Uuuuu...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest