Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MAMBO YA KUFANYA PALE AMBAPO MWENZA WAKO ANAPOKUNUNIA /MWENZA WAKO ANAPOKAA KIMYA TU BILA SABABU ZOZOTE ZA MSINGI
Gonga94 · Stories

MAMBO YA KUFANYA PALE AMBAPO MWENZA WAKO ANAPOKUNUNIA /MWENZA WAKO ANAPOKAA KIMYA TU BILA SABABU ZOZOTE ZA MSINGI

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
MAMBO YA KUFANYA PALE AMBAPO MWENZA WAKO ANAPOKUNUNIA /MWENZA WAKO ANAPOKAA KIMYA TU BILA SABABU ZOZOTE ZA MSINGI
Mwanamke huwa kiumbe ambaye anakuwa na mabadiliko ya hisia ghafla (mood swings) Kwa maana dakika moja anakupenda sana kisha dakika inayofuata anakuchukia hataki hata kukuona.

Lakini hivi sasa wapo wanaume wenye kuonyesha tabia hizo za kununa, kususa, kugoma kulala, kulala mzungu wa nne,kukaa na hasira kupitiliza kwa muda mrefu bila sababu zozote za msingi.

Kwa wanaume wenye mood swings ukifanya uchunguzi utakuta wengi wamekulia familia ambazo hakuna mwanaume imara ambaye ni mfano bora wa kuigwa hivyo wao hujikuta wanaiga hulka ya kununa, kususa,kukunja sura kwa ghadhabu,kuwa na gubu pamoja na kisirani kutoka kwa mama zao na dada zao.

Hivyo leo tuangalie muhtasari wa namna ya kukabiliana na tabia ya gubu, kisirani,kununa, kususa, kugoma kutoa unyumba,kugoma kulala pamoja,kulala mzungu wa nne ambapo tabia hizo mwenza wako akiwa nazo zinaweza kukusumbua.

Je imekuwa kawaida kuona tabia zifuatazo kwa mwenza wako?
-Anakata mawasiliano ghafla bila sababu zozote za msingi na endapo ukiuliza kuhusu mabadiliko ya tabia zake atakugeuzia kibao kisha unazuka ugomvi mkubwa sana.

-Atakuomba fedha nyingi sana kuliko uwezo wako kisha ukisema hauna fedha ananuna, anaanza kulalamika,anadai haumpendi,anatishia muachane,anakutangaza vibaya.

-(mwanamke),anagoma kupika, kufua, kufanya usafi wa nyumba, kutandika kitanda,kuandaa watoto kwenda shule,anatoroka kwenda nyumbani kwao kusingizia ananyanyaswa,anabamiza mlango kwa ghadhabu,au anapopika anaunguza chakula,au akinyosha nguo zako anaunguza kwa makusudi kisha anasingizia bahati mbaya .

-Mwenza wako anakuwa na hasira kupitiliza, huzuni, majonzi, upweke kupitiliza,kila juhudi za kumfurahisha zinazidisha hasira zake.

-Mara kwa mara mnakuwa kwenye majibizano, kutukanana, kudharauliana, kushutumiana, kufokeana,kupeana vitisho, kutishia kujiua, kutishia kukudhuru,kutishia kukupokonya zawadi zake alikununulia.

-Imekuwa mara kwa mara unapiga magoti,unaomba msamaha mara kwa mara, kumbembeleza,kumpa ushauri, kumkumbusha wema ambao umemfanyia,kuanza kulia ili kumshawishi mwenza wako abadili tabia..

Kwanini watu hupenda kuwanunia wenza wao ?
FAHAMU SABABU ZENYE KUCHOCHEA WENZA KUNUNIANA.
Zifuatazo ni sababu zenye kufanya watu kuwanunia wenza wao.
1.Kushindwa kufikia muafaka.
Kama mwanaume na mwanamke wameshindwa kufikia muafaka labda kuhusu kuzaa,kusomesha watoto, matumizi ya uzazi wa mpango,malezi ya watoto, matumizi ya fedha,kutoka pamoja "Out",kukatazwa kwenda nyumbani kusalimia wazazi (mwanamke) husababisha mwanamke au mwanaume kuamua kununa, kususa, kugoma kutoa unyumba, kugoma kulala pamoja,kulala mzungu wa nne,kukaa kimya kama bubu muda wote,kujitenga kila wakati mmoja wao anapotaka kujenga ukaribu.

2.Safari kuahirishwa,au kunyimwa fedha ,au kukataliwa kitu chochote kwa mfano mwanaume anataka mwanamke amchukulie mkopo kwa kuweka dhamana kazi au mali zake ambazo mwanaume hajachangia hata senti tano kisha mwanamke amekataa,au mwanamke anataka kusomeshwa lakini mwanaume amekataa,au mwanamke anataka anunuliwe gari,au apewe mtaji lakini mwanaume amekataa hivyo husababisha hisia za chuki,wivu,kinyongo,kuitana majina ya wanyama kama mbwa na nguruwe kama kisasi cha maumivu ya kukataliwa.

3.Kukaa kimya kama shinikizo la mabadiliko ya tabia.Kwa mfano mwanaume anataka mapenzi kinyume na maumbile kisha mwanamke amekataa hivyo mwanaume anaweza kuhama nyumba,au kuongea na michepuko mbele ya mke wake,au anasusia chakula,kugoma kulipa ada za watoto,kugoma kuhudumia familia kama njia ya kulipiza kisasi.Lengo la yote hayo ni kumshinikiza binti akubali kuingiliwa kinyume na maumbile.

4.Kujilinda kihisia.
Kuna watu ambao tangu utotoni walijifunza kukaa kimya kama silaha ya kujilinda dhidi ya mateso kutoka kwa wazazi.kwa mfano mtoto anafokewa, kutukanwa, kujibiwa vibaya, kupelekeshwa,kutishiwa kuuawa hivyo kama anajua akiongea atakuwa kwenye matatizo ikiwemo kipigo,kunyimwa chakula,kulazwa nje huamua kujilinda dhidi ya kipigo cha mzazi kwa kukaa kimya kwa sababu anajua baba au mama ni mtuwa hasira kupitiliza hivyo kujibu matusi ya mzazi kunaweza kumletea matatizo zaidi.
Wengine walijifunza kukaa kimya utotoni kama njia ya kushinikiza kupewa mahitaji yao kutoka kwa wazazi wao.

5.Kukaa kimya ili kuepuka ugomvi.Baadhi ya watu wanajijua wapo na hasira kupitiliza vilevile huwa na desturi ya kuropoka hovyo hivyo huamua kukaa kimya ili kuepuka kuongea kitu kibaya kisha baadaye aingie kwenye mikono ya sheria.Mtu mwengine anajua akiongea tu ghafla majibizano, kutukanana, kudharauliana, kushutumiana, kufokeana, kupeana vitisho,kupeana kashfa,kuvujisha siri za faragha kunaweza kujitokeza.

6.Kukaa kimya kama adhabu kwa mwenza au mtoto Baadhi ya watu tangu utotoni walijifunza kukaa kimya kama adhabu kwa wakosaji wao.Kwa mfano mzazi anakaa kimya haongei na mtoto kwa sababu mtoto amefeli masomo, mwengine anakaa kimya kama njia ya kuepuka usije kuomba fedha za matumizi,mwengine anakaa kimya ili kupunguza ukaribu na wewe,mwengine anakaa kimya tu ili umuombe msamaha,uanze kulia,upige magoti,umnyenyekee.

7.Kukaa kimya kama njia ya kutafuta kisingizio cha kuvunja mahusiano.Mtu mwengine anakuacha ghafla kimyakimya haongei chochote anafanya "Ghosting) kwa maana anapotea ghafla,simu hapokei, ukituma sms hajibu, usipomtafuta hakutafuti,ukikaa kimya anakaa kimya hata miezi sita (6) huyu anafanya hivyo ili ukate tamaa muachane lakini baadaye atarudi kusingizia shetani alimpitia hivyo anataka mrudiane lakini anakuwa na "Target " zake umpe faraja na msaada wa kifedha tu ili aondoke zake kwenda kwa mwenza wa HADHI yake.

MADHARA YA KUNUNIANA/KUKALIANA KIMYA
UNapoamua kununa, kususa, kugoma kutoa unyumba, kugoma kulala pamoja, kulala mzungu wa nne, kukaa kimya kama bubu muda wote bila sababu zozote za msingi jiandae kwa matoleo yafuatayo
1.MAELEWANO KUKOSEKANA
Wewe au mwenza wako mmoja atakuwa na hasira kupitiliza,hisia za kisasi, chuki, kinyongo,upweke kupitiliza, kupoteza hisia za mapenzi, kupoteza hamu ya kula au kula sana bila mpangilio, kukonda,kushindwa kufanya kazi.

2.UPWEKE KUONGEZEKA
Mmoja au nyote wawili,upweke kupitiliza utajitokeza.
Unaweza kuelemewa na majukumu pale ambapo mwenza wako hakupi ushirikiano wowote.Kwa mfano mwanamke akigoma kupika, kufua, kufanya usafi wa nyumba, kutandika kitanda, kuandaa watoto kwenda shule huku anakaa kimya tu haongei chochote ,au yupo busy kuchati tu,au anatoroka kwenda nyumbani kwao kusingizia ananyanyaswa mara kwa mara husababisha hisia za upweke kupitiliza.

3.UGOMVI KUONGEZEKA
Pale ambapo mnakaa kimya bila kuongea chochote,sio kila mtu ni mvumilivu.
Mmoja anaweza kuanza kuporomosha matusi ya nguoni,kisha mtaaanza kutukanana, kudharauliana, kushutumiana, kufokeana, kupeana vitisho, kutishia usalama wa kila mmoja,tishio la kuachana,mmoja ataonekana mbishi,mbabe,mtemi, mjuaji, hashauriki, haambiliki,mtu wa misimamo mikali sana.

4.Manyanyaso kuongezeka.
Mwanaume au mwanamke mwenye wivu wa mapenzi kupindukia ataamua kumtawala mwenzake kimabavu kwa kumpokonya simu, kumnyang'anya ATM card,kumpangia marafiki,kumtangaza vibaya mwenzake,kumlaza nje,kumlaza chooni,kumnyima chakula,kumnyima huduma za matibabu, kumpokonya hati miliki, kumchafua,kuhamasisha mwenza wake kutengwa na jamii.

Ufumbuzi wake
Kuna nja nne (4) za ufumbuzi wake.Kwa muhtasari
1.Pata utulivu wa akili-Epuka kutegemea faraja ya mwenza wako,epuka kupiga simu mfululizo, kutuma sms mfululizo, kujitumisha zawadi na fedha,epuka kuanza kulia,epuka kumbembeleza.Ishinde hofu ya mahusiano kuvunjika.

2.Mpe mwenza wako nafasi
Kama mwenza wako akianzisha mahusiano mapya kipindi umempa nafasi ya kupata utulivu wa kiakili basi achana naye.Uguza kidonda chako anza upya.

3.Tumia lugha fasaha yenye kueleweka na heshima,eleza unataka nini na hautaki nini.Kama ukifanya makosa omba msamaha,kama mwenza wako hataki kusamehe basi muachane kwa amani.
4.Weka mipaka.Tambua tabia gani unaweza kuvumilia na tabia gani hauwezi kuvumilia.
haya yapo ndani ya kitabu cha JINSI YA KUPONA MAUMIVU MAKALI SANA MOYONI.

#Spirit_Warrior
#Wounded_Healer
????????

Kama tatizo lako ni kubwa zaidi tunaweza kuwasiliana kwa ajili ya Counselling session na ufafanuzi wa kilichoandikwa hapo juu na utaona mabadiliko na kujisikia nafuu ndani ya muda mfupi baada ya mazungumzo.(Counseling kwa njia ya simu gharama Tshs 30000 , kuonana uso kwa uso Tshs 40000

Kwa wapenzi wa kusoma vitabu unaweza kupata nakala zangu orodha ipo chini ????

Kupata kitabu cha
1.JINSI YA KUPONA MAUMIVU MAKALI SANA MOYONI - (Softcopy Tsh 30000)
2.UTULIVU WA AKILI KIPINDI KIGUMU (Softcopy)
3.FIKRA ZAKO FURAHA YAKO (softcopy)
4.TIBA YA MSONGO WA MAWAZO (by & Softcopy)
5.MALEZI YA UBONGO KISAYANSI( hardcopy & softcopy)
6.TABIA ZA WATU WALIOFANIKIWA (Hardcopy & softcopy)
7.MISINGI 10 YA FURAHA SIKU ZOTE (hardcopy &softcopy)
8.BADILI FIKRA ZAKO BADILI MAISHA YAKO
BEI Kitabu kimoja softcopy 5000 isipokuwa kitabu namba 1 bei yake ni Tsh 30000, hardcopy moja 10000

Mawasiliano
+255766862579
+255622414991

Imeandikwa na Psychologist
Said Kasege
Temeke,Dar es salaam
Tangazo - Monday To Sunday
Monday To Sunday
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MAMBO YA KUFANYA PALE AMBAPO MWENZA WAKO ANAPOKUNUNIA /MWENZA WAKO ANAPOKAA KIMYA TU BILA SABABU ZOZOTE ZA MSINGI

MAMBO YA KUFANYA PALE AMBAPO MWENZA WAKO ANAPOKUNUNIA /MWENZA WAKO ANAPOKAA KIMYA TU BILA SABABU ZOZOTE ZA MSINGI
Mwanamke huwa kiumbe ambaye anakuwa na mabadiliko ya hisia ghafla (mood swings) Kwa maana dakika moja anakupenda sana kisha dakika inayofuata anakuchukia hataki hata kukuona.

Lakini hivi sasa wapo wanaume wenye kuonyesha tabia hizo za kununa, kususa, kugoma kulala, kulala mzungu wa nne,kukaa na hasira kupitiliza kwa muda mrefu bila sababu zozote za msingi.

Kwa wanaume wenye mood swings ukifanya uchunguzi utakuta wengi wamekulia familia ambazo hakuna mwanaume imara ambaye ni mfano bora wa kuigwa hivyo wao hujikuta wanaiga hulka ya kununa, kususa,kukunja sura...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/mambo-ya-kufanya-pale-ambapo-mwenza-wako-anapokununia-mwenza-wako-anapokaa-kimya-tu-bila-sababu-zozo

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi mambo-ya-kufanya-pale-ambapo-mwenza-wako-anapokununia-mwenza-wako-anapokaa-kimya-tu-bila-sababu-zozo
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGU❤️ sehemu ya 79 na 80

MY WANGU❤️ sehemu ya 79 na 80

565
MY WANGU❤️ sehemu ya 81

MY WANGU❤️ sehemu ya 81

530
MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83

MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83

396
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32

335
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33

235
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘

151
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5

41

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.09K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.84K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.67K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.05K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.45K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.41K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.28K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.28K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.25K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.16K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘
@majario LIVE

Tulivyotoka pale sitting kuelekea chumbani nilianza kumbembeleza nice asinzie kwani anataka sasa😆😆 my wangu si akaanza kulia na kuita daddy daddy I want my daddy ikawa kero😳😳 ilinibidi nimuweke mgongoni...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Kila alipokua akipita mtaani kwao utasikia watu wakimuita tipwa tipwa huku wakimtania, lakini yeye hajali hata kidogo. Karidhika na mwili wake, hana mda wa kuhifadhi maneno ya watu...

MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83
@majario LIVE

Zayd akanmbia mbona unalia mama. Aseeee mda huu ilikuwa ni kama saa 5 ya usiku. Na mlige anapiga simu . Yani simu yangu sikuwa nimeweka sauti . Yani nimeweka mwanga...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33
@majario LIVE

Bas baada ya princess kukata simu nikamsogelea mke wangu nikamwambia si umeona kipenzi changu. We niamini tu na kuwa muelewa . Mimi nimekosea ilaa sasa hivi sitaki tena kuwa na...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32
@majario LIVE

Fatuma akanmbia kumbe ndo unayonifanyia aya. Unazani nilikuwa sina habri zako . Unazani sijuh najua sana . Kuwa apa chuo una mwanamke mjinga ww. Daah nikamwambia plsss mke wangu...

MY WANGU❤️ sehemu ya 81 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 81
@majario LIVE

Whattsap; 0786796363 Mwandishi; HABIBA MAAMOJA Basi maisha yakawa yanenda hivyo. Na zayd akawa nanaitafuta kila siku. Alivyokuwa kenya. Siku iyo usiku hivi .nipo ndani kwangu . Nilikuwa napanga nguo zangi mana nilikiwa...

MY WANGU❤️ sehemu ya 79 na 80 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 79 na 80
@majario LIVE

Zayd akasema ni mimi. Naona unaniangalia sana wala haujanifananisha ndo mm zayd tulisoma wote singida . Na mala ya mwisho tulipewa suspension na mwenzangu ukahama shule. Mh nikasema ahaa...

MY WANGU❤️ sehemu ya 78 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 78
@majario LIVE

Basi bibi mie nikaanza kujiandaa kwa ajili ya club. Na nguo nnazo kama zote. Kuna mda mlige ananinuliaga mpkaa nguo za ajabu . Ila nivae tu nikiwa na...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘  N0 51...52💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 51...52💘💘
@majario LIVE

Uwe na usiku mwema mke wangu mimi nitakwenda kulala kwenye chumba changu kingine natumaini hili jambo litabakia kuwa la siri kati yetu sisi wawili..... natumaini hautamwambia mtu yeyote yule Acha...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 30 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 30
@majario LIVE

Akanmbia mi nitakuazima pesa milion 10 . Uanze nayo. Ununue mashine zote.na ukalipie fremu apa maeneo ya chuo utapata wateja wengi. Mh nikaona uyu demu ana roho nzuri ety anamfikilia...

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE 1 - - - - - 5 Post Mpya
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE 1 - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 MWANZO......... Wale wa kuzima Hisia washa akili mje hapa. Mwenzenu huku kawasha vyote kama mjukuu majuto😄😄😄. Hivi wahenga nao wanatuchukuliaje kusema kwamba akili ni nywele 😀😀😀. Asubuhi majira ya saa...

NILIVYOOLEWA NA SHEMEJI YANGU 1 - - - - - 5 Post Mpya
NILIVYOOLEWA NA SHEMEJI YANGU 1 - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 ANZA NAYO.... Call me Paaye, oooh Paaye hata sijui hili jina lina maana gani na siijui wazazi wangu walilipatia kwa mkorea yupi maana kwa hili jina saluti kwao Aaah Paaye...

MIRANDA (Binti Yangu) 1 - - - - - 5 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) 1 - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 ANZA NAYO SASA...... Kuna ule msemo kuwa mpende yule anaekupenda na mthamini yule anaekuthamini,yes naweza kusema kuwa mimi nilibahatika kupendwa na kuthaminiwa bwana 😊 Yaani binti yenu kwenye kupendwa sijui...

REAL LOVE*  Chapter 10 Post Mpya
REAL LOVE* Chapter 10
@majario LIVE

yani sekunde kadhaa tu mtu ashachezea john hakuwa anapenda ujinga hata kidogo yani, alikuja kuzuiliwa na seven lakini john bado alitaka ampige devi kutokana na ujinga alioufanya, niachieeee seven uyu shetani sana...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 50💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 50💘💘
@majario LIVE

0742133100 Babie Love ""🎶🎶from the day that I met you girl"" ""I knew that your love would be "" ""Everything that I ever wanted in my life🎶🎶"" ""🎶🎶from the moment you spoke my...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest