Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 01
Gonga94 · Stories

MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 01

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
Story……………….MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 01
Mtunzi…………….SIMULIZI ZA ZOOPER
Whatsap………....0613083801
……………………….0748697173
Umri………………..18+

Kwa jina naitwa Fatuma karibu katika mkasa huu ili upate kujua yaliyonipata baada ya mimi kukutana na shemeji yangu aliyekuwa amemuoa dada yangu wa kumfata tuliyezaliwa nae tumbo moja.

Chondechondechondee..... story hii ni kwa wakubwa tu wale walio juu ya umri wa miaka 18 na kuendelea, na kwa wale walio na umri wa chini ya miaka 18 naomba mtupishe kidogo.

Ilikuwa ni mida ya asubuhi niliyokuwa nimelala kitandani, nilisikia sauti ya mama kwa mbali ikiniamsha lakini mimi sikutaka kuamka.

Mama baada ya kuona sitaki kuamka aliamua kuingia kwenye chumba changu na kuanza kuniamsha huku akiyapiga makalio yangu.
"Wewe Fatuma amka haraka uende nyumbani kwa dada yako, kanipigia simu nakuniambia kuwa shemeji yako anakusubiri umpeleke vyeti vyako"
"Mmmmh mama lakini!! mbona bado mapema sana niache niendelee kulala kwanza" nilimjibu mama na kujifunika shuka kwa ajili ya kuendelea kulala.
"Unaona sasa ujinga ulionao wewe mtoto!? ndiyo maana mpaka sasa ivi upo upo tu huna mwelekeo wa maisha, amka haraka huko" mama aliniambia kwa msisitizo hali iliyonifanya niamke na kukaa kitandani huku nikipiga miayo kutokana na chembe chembe za usingizi nilizokuwa nazo.

Baadae nilitoka kitandani na kwenda bafuni kuoga kwa ajili ya kujiandaa kuelekea kwenye nyumba ya dada yangu aliyekuwa akiitwa Aisha ili nikakutane na shemeji yangu aliyekuwa akiitwa Rashidi na lengo kubwa ni shemeji Rashidi anisaidie kunitafutia kazi kwenye hospital aliyokuwa akifanyia kazi.

Nilijiandaa na baada ya kumaliza nilibeba begi langu lililokuwa na nguo baadhi kisha baada ya hapo nilimuaga mama na kuondoka. Nilienda kupanda kwenye gari na nikiwa ndani ya gari niliishika simu yangu na kumtumia ujumbe Aisha nikimwambia kuwa nipo njiani nakuja nyumbani kwake.

Dada alijibu ujumbe niliomtumia kwa kuniambia kuwa shemeji Rashidi ndiye atakayenipokea kwani yeye alikuwa amebanana kidogo. Baada ya kuwasiliana na dada niliegemea kwenye siti ya gari niliyokuwa nimekaa na baadae nilijikuta nikipitiwa na usingizi, nilikuja kushituka baada ya masaa kadhaa kupita hasa baada ya kugundua kuwa gari imefika sehemu niliyokuwa nikielekea.

Niliteremka kwenye gari nililokuwa nimepanda na bahati nzuri kuna namba ngeni mda huo huo ilinipigia kwenye simu yangu hivyo niliamua kuipokea na sauti iliyosikika ilikuwa ni sauti ya shemeji Rashidi akiniuliza kama tayari nimeshafika.

Nilimwambia kuwa nimeshafika na shemeji Rashidi aliahidi atafika baada ya mda mfupi tu, nilimsubiri Shemeji Rashidi na baada ya mda aliweza kufika akiwa kavaa kanzu kama ilivyo tamaduni ya dini yetu.

Shemeji Rashidi alisogea mahali nilipokuwa mimi huku akiniangalia machoni na aliponifikia tulisalimiana kwa kushikana mikono lakini nilishangaa kumuona shemeji Rashidi akinitekenya kwenye kiganja changu cha mkono huku akiniambia.
"Umekuwa sana Fatuma"
"Mbona nipo vile vile tu Shemeji" nilimjibu huku nikiangalia pembeni kutokana na aibu niliyokuwa nayo.
"Mmmh basi mtu uliyenae atakuwa anakufaudu sana Fatuma"
Shemeji Rashidi aliongea hivyo na mimi ilibidi nimuulize.
"Kwanini unasema hivyo Shemeji..!?"
"Umejaliwa kuwa na umbo zuri Fatuma kuliko ata dada yako Aisha natamani mimi ndiye ningeipata hiyo bahati ya kuwa na wewe ila tayari nimeshamuoa dada yako" alinijibu na ndipo nilipotambua dhumuni la Shemeji Rashidi kuniambia kuwa nimejaliwa kuwa na umbo zuri.
"Shemeji hapana!! mimi nipo kawaida mbona!" nilimjibu na baadae niliamua kubadilisha mada ili asiendelee kuongea maneno yaliyokuwa yakinipa wakati mgumu kuyajibu.

Baadae tuliondoka na kuelekea nyumbani kwake na baada ya mda tuliweza kufika na kumkuta dada Aisha akiwa anafanya usafi kwenye nyumba tena akiwa kajifunga kitenge tu. Sikushangaa sana kumkuta akiwa amevaa vile kwani dada ndivyo alivyokuwa amezoea kuvaa toka tulivyokuwa tukiishi wote nyumbani.

Tulisalimiana na Aisha alinikaribisha nyumbani kwake na kuchukia mizigo yangu na kuipeleka chumbani. Nilibaki mimi pamoja na shemeji Rashidi lakini nilishangaa kwa jinsi alivyokuwa akiniangalia huku akichezesha miguu yake na baadae aliamua kuniuliza kama vyeti vyangu nimekuja navyo, nilimjibu nimekuja navyo hivyo nilienda kuvichukua na kumpatia.

Vyeti vyangu vilikuwa na ufaulu wa kawaida ila nilishangaa kumuona shemeji Rashidi akinisifia baada ya kuvikagua kwa kuniambia kuwa nilifanya vizuri shuleni kitu kilichonishangaza maana sikuwa na ufaulu wa kulizisha kiasi hicho kama aliyokuwa akinisifia shemeji Rashidi.

Baadae shemeji Rashidi aliniahidi atanisaidia ili niweze kupata kazi na siku mbili zilipita nikiwa naishi nyumbani kwa dada huku shemeji Rashidi akihangaika kunitafutia kazi kwenye hospital aliyokuwa akifanyia kazi yeye.

Siku moja nilipatwa na homa kali hivyo shemeji Rashidi aliingia kwenye chumba nilichokuwa nimelala na kupeleka mikono yake kwenye mashavu yangu kwa ajili ya kupima joto la mwili wangu.
"Hali yako ni mbaya sana shemeji ila nisubiri nije mara moja" Shemeji Rashidi aliongea na kutoka chumbani.
Baada ya mda alirudi huku akiwa kashika sindano kwenye mkono wake na kuufunga mlango kisha baada ya hapo aliniambia.
"Shemeji itabidi nikuchome sindano ya kutuliza hali uliyonayo kisha baada ya hapo nitakupeleka hospital ili uweze kuchukuliwa vipimo"
Baada ya shemeji Rashidi kuniambia kuwa anataka kunichoma sindano nilianza kuingiwa na hofu kwani nilikuwa mwoga sana wa kuchomwa sindano.

Ilibidi nimpe mkono wangu ili aweze kunichoma sindano lakini shemeji Rashidi alikataa kunichoma sindano kwenye mkono na badala yake aliniambia.
"Ingekuwa vizuri kama ungevua ili niweze kukuchoma kwenye makalio yako shemeji"
"Mmmh shemeji hiyo hapana kwanini usinichome kwenye mkono hapa!?" nilimjibu lakini shemeji Rashidi aliendelea kunitaka nivue nguo ili aweze kunichoma sindano kwenye makalio yangu huku akidai ni kwa ajili ya usalama wa afya yangu.....ITAENDELEA.

Aya sasa kazi kwenu ndiyo kwanza sehemu ya kwanza, nahitaji like 300 pamoja na komenti za kutosha ili nitupie kipande cha pili leo leo ?????????????????????

Maoni

You're not logged in


Tangazo - My true love mwanzo Hadi Mwisho
My true love mwanzo Hadi Mwisho
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 01

Story……………….MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 01
Mtunzi…………….SIMULIZI ZA ZOOPER
Whatsap………....0613083801
……………………….0748697173
Umri………………..18+

Kwa jina naitwa Fatuma karibu katika mkasa huu ili upate kujua yaliyonipata baada ya mimi kukutana na shemeji yangu aliyekuwa amemuoa dada yangu wa kumfata tuliyezaliwa nae tumbo moja.

Chondechondechondee..... story hii ni kwa wakubwa tu wale walio juu ya umri wa miaka 18 na kuendelea, na kwa wale walio na umri wa chini ya miaka 18 naomba mtupishe kidogo.

Ilikuwa ni mida ya asubuhi niliyokuwa nimelala kitandani, nilisikia sauti ya mama kwa mbali ikiniamsha lakini mimi sikutaka kuamka.

Mama baada ya kuona sitaki kuamka aliamua kuingia kwenye chumba changu na kuanza kuniamsha huku akiyapiga makalio yangu.
"Wewe Fatuma amka...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/mmmmh-shemeji-hapana-01

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi mmmmh-shemeji-hapana
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 30 FINAL
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 30 FINAL
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 03
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 03
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 04
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 04
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 29
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 29
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 15
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 15
MMMMH....SHEMEJI HAPANA!!!?? 02
MMMMH....SHEMEJI HAPANA!!!?? 02
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 12
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 12
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 26
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 26
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 27
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 27
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 22
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 22
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 24 Mtunzi……………
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 24 Mtunzi……………
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 28
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 28
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 20
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 20
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 16
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 16
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 05
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 05
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 13
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 13
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 14
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 14
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? (18 & 19)
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? (18 & 19)
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 25
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 25
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 17
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 17
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 06
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 06
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 23
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 23
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 21 Mtunzi…………….SIMULIZI ZA ZOOPER
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 21 Mtunzi…………….SIMULIZI ZA ZOOPER
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 08
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 08
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 07
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 07
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 11
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 11
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 09
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 09
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 10
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 10
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMI NA SABA*

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMI NA SABA*

812
AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMI NA NANE*

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMI NA NANE*

806
AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *19&20*

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *19&20*

636
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 21 na 22

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 21 na 22

501
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* *  *16-20*

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16-20*

420
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 18

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 18

376
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 6

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 6

165
Jinsi ya kutuma pesa kutoka Safaricom Kenya kwenda Vodacom Tanzania

Jinsi ya kutuma pesa kutoka Safaricom Kenya kwenda Vodacom Tanzania

99
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 7

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 7

69
UTANIITA SHEMEJI.* *SEHEMU YA 16*

UTANIITA SHEMEJI.* *SEHEMU YA 16*

56

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.52K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.27K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.77K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.24K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.71K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.62K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

2.61K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.55K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.48K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.46K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 7 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 7
@majario LIVE

SONGA NAYO..... Hatimae ule mda wa kuwasili huyo mkaka wa kuitwa Anfrey ulifika walimpokea kwa furaha sana wazazi kama wazazi walimzawadia kijana wao gari ya milioni 80 Mimi nilikuwa kwa mbali natazama...

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *19&20* Post Mpya
AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *19&20*
@majario LIVE

Huo Ndio ukawa mwanzo Mpya wa upendo kati yangu Mimi na madam groly, Yaani mimba tu na kukaa nae Ndani ya miezi miwili tu tayali madam groly aliona utofauti wangu. Kwa...

KWAKO RUSHINE DE REUCK. Post Mpya
KWAKO RUSHINE DE REUCK.
@majario LIVE

Nikiwa kama mpenzi na shabiki mwanachama wa Simba niliyenyooka ninajikuta nina wajibu wa kusema ukweli pale panapohitajika ili kama kuna hatua za kuchukuliwa zichukuliwe mapema na mhusika kabla jambo...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 21 na 22 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 21 na 22
@majario LIVE

🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 Mwandiishi; LISSA Basi bwana rasmi tukaanza aya mahusiano bubu sasa, ambayo mimi binafsi sikuwa nimeyaafik kabisaaa, na wala sikuwa nayafurahia ata kidogo ,ila mchumba si kaamua basi powa, nikaona ngoja...

Jinsi ya kutuma pesa kutoka Safaricom Kenya kwenda Vodacom Tanzania Post Mpya
Jinsi ya kutuma pesa kutoka Safaricom Kenya kwenda Vodacom Tanzania
@majario LIVE

Kutokana na ongezeko la watumiaji wa Safaricom M-Pesa wanaohitaji kutuma pesa kwenda Vodacom M-Pesa Tanzania, nimeamua kuandika makala hii ili kuwasaidia wale ambao hawafahamu jinsi ya kufanya muamala huo. Tuma...

UTANIITA SHEMEJI.* *SEHEMU YA 16* Post Mpya
UTANIITA SHEMEJI.* *SEHEMU YA 16*
@majario LIVE

SONGA NAYO............. Zilipita dakika kadhaa nikatoka na kumfuata sebleni , akataka kuendeleza story zake nikamwambia aaah 🤚nioneshe kazi za kufanya kwanza ,kama ni maongezi baadae. Hakuwa na shida akaanza kunionesha mazingira yote...

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 6 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 6
@officialgonga LIVE

SONGA NAYO..... nilipokaribia kumfikia nilimsikia akizungumaza "Sawa baba basi wacha sie tufanye maandalizi kidogo..." Niliweza kumsikia madam akiongea hivyo, kwakuwa mimi huyu mama namuona boya sikutaka kumjali nilimpita nikaelekea chumbani lakini nikiwa katika...

Rajshree (born October 8, 1944) is one of those 60s actresses people still remember with a smile. She’s the daughter of legendary Post Mpya
Rajshree (born October 8, 1944) is one of those 60s actresses people still remember with a smile. She’s the daughter of legendary
@majario LIVE

filmmaker V. Shantaram and actress Jayshree, so films were always a part of her world. She started as a child artist in Subah Ka Tara and was later introduced as...

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* *  *16-20* Post Mpya
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16-20*
@majario LIVE

*_______________________________________* .Chapter 19&20 Tuliondoka na mume wangu kuelekea kwake. Aseee ni bonge la nyumbaa ile aliyonipa ikaanzeee kwenye parking kuna magari kam yotee, bustani kumbwa muda huo mimi nachungulia tu kwenye gari...

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMI NA NANE* Post Mpya
AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMI NA NANE*
@majario LIVE

Siku ziliendelea kwenda uku mimi na Enzo tukiendelea kukaa kwa madam groly, Yaani madam groly hakutaka kabisa nikae mbali na alikuwa akichukua uangalizi mzuri sana juu yangu Siku moja nikiwa chumbani...

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMI NA SABA* Post Mpya
AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMI NA SABA*
@majario LIVE

Enzo akanyanyuka kwenye kochi alipokuwa amekaa na kuja kuniwal na kwa shauku akaniuliza. "Ishani wewe ni mjamzito" Nikabaki nikiwashangaa tu Maana sielewi ata hiyo mimba ukibeba unajisikiaje Mimi Nipo Nipo Kama fala...

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 18 Post Mpya
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 18
@majario LIVE

Tulifanya kama tulivyoagizwa na mpenzi wangu, ila sasa kuna kitu kilibadilika jaman, yaaani haikuwa tena wiki moja alikaaa kule zaidi ya miezi miwilii tena bila mawasiliano hili lilitupa mawazo sana...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 19.na 20 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 19.na 20
@majario LIVE

Nikasema zena kweli ,na wew unafeel kama vile ambavyo mm nafeel acha masihara basi, akanambia lakini millan ,mi wewe sikujuhi vizur, ndo mana nilikuwa nataka mda kwanza wa kukufahamu ,nisije...

BLACK BUTTERFLY 🦋 5 Post Mpya
BLACK BUTTERFLY 🦋 5
@majario LIVE

By Babie Love Tsap 0742133100 ENDELEAAA “ Brayton..” Camilla alijikuta akimuita bila kutarajiaa Brayton alimsogeleaa na kumuonyeshaa zile picha vizur tu kwenye simu yakee huku akimuulizaa “ Unawezaa kuniambia hiki nini?!?” Camilla alishangaa kwa...

Some Bollywood families just have that star vibe, and Dimple Kapadia and her daughters are a perfect example Post Mpya
Some Bollywood families just have that star vibe, and Dimple Kapadia and her daughters are a perfect example
@majario LIVE

. Dimple became a sensation with Bobby, and the same year she married superstar Rajesh Khanna. She was only 16 when she got married and became a mom at 17...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest