Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 16
Gonga94 · Stories

MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 16

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
Story……………….MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 16
Mtunzi…………….SIMULIZI ZA ZOOPER
Whatsap………....0613083801/0748697173
Umri………………..18+

ENDELEA.........
Baadae nilienda kuvaa nguo zangu huku nikiwa natembea kwa shida, Kasimu alikuwa akinitazama jinsi nilivyokuwa nikipata dabu kutembea.
"Utazoea tu Fatuma mimi ndiyo show zangu hizo sina show za mchezo mchezo na hapo mtaro sijakuomba je? ningepita kwenye mtaro ungeweza kutembea kweli!?" aliongea kwa kujigamba akiniuliza lakini mimi sikutaka kuendelea kusikiliza story zake zaidi ya kuondoka.

Kasimu aliniambia kuwa huo ndiyo mwanzo tu kwani kila atakapokuwa akipata hamu ya kufanya mapenzi na mimi basi ni lazima nikubali lasivyo atanitimua kazini.

Niliondoka na nilipofika nyumbani nilikuwa sina hamu kwa kile alichokuwa amenifanyia Kasimu, nilivua nguo zangu na kuwasha feni ili walau mwili wangu upigwe upepo. Siku hiyo ilipita na siku iliyofata nilienda kazini, nilipatana na binti aliyekuwa akiitwa Rose hivyo niliamua kumuuliza habari za Kasimu kwa ajili ya kumpeleleza vizuri.
"Weeee unamjua Kasimu wewe yule ni balaa hamna mdada asiyemjua hapa!?"
"Kwani ananini huyo Kasimu" nilimuuliza na Rose aliniambia.
"Kasimu siku akikwambia mkafanye nae mapenzi katakaa kabisa Fatuma usije kukubali!" Rose aliniambia kwa msisitizo.
"Mbona sikuelewi Rose!?" nilimuuliza na Rose aliniambia kuwa Kasimu huwa anaurafiki na mzungu anayemletea dawa za kuongeza nguvu za kiume na ata uume wake aliurefusha kupitia dawa ambazo huwa analetewa.
Baada ya Rose kuniambia niliyaamini maneno yake hasa baada ya kukumbuka kile kilichonitokea siku iliyopita.
"Au Kasimu amekutongoza nini!?"
"Wala!! ila nilitamani kujua tu kuhusu yeye" nilimjibu na baadae tulibadilisha story na kuanza kuongea mambo mengine.

Siku iliyofata Kasimu alinipigia simu na kutaka tukutane kwa mara nyingine tena kwa ajili ya kufanya mapenzi, kiukweli sikutaka kabisa kwenda kuonana nae hivyo niliamua kumwambia kuwa nimebanana na haitowezekana siku hiyo.
"Unataka kunivuluga Fatuma sasa!, kumbuka makubaliano yetu yalivyokuwa!!?"
"Nayakumbuka mno makubaliano yetu ila haitawezekana maana nyumbani nipo na mama na hali yake sio nzuri na hamna mtu wa kumwangalia zaidi yangu" niliamua kutunga uongo wangu na baadae Kasimu alinielewa ila aliniambia kesho lazima nikubali kuonana nae.

Nilikata simu na kuanza kuongea mwenyewe huku nikitoa lawama za kile aina, nilijiona kama mwenye mkosi kwani nilitoka kwenye hospital ya kwanza nikimchenga shemeji Rashidi lakini ata wiki haijaisha Kasimu ameanza kuwa kero kwangu licha ya kunitengenezea mpango wa kazi.

Siku iliyofata nilienda kazini na siku hiyo kwa mara nyingine nilimchenga Kasimu, sikutaka kwenda kufanya nae mapenzi maana bado nilikuwa na maumivu kwenye ukee wangu. Siku iliyofata Kasimu hakunisumbua na siku tatu zilipopita nilishangaa nikipewa taarifa za kuondolewa kazini.
"Ina maana kukataa kufanya nae mapenzi ndiyo kaamua kunitimua kazi!?" niliongea mwenyewe baada ya kuisoma barua niliyokuwa nimepatiwa.

Kiukweli nilivulugwa sio siri, nilirudi nyumbani kwangu nikiwa sina hamu na kwenye simu yangu ujumbe uliingia kutoka kwa Kasimu.
"Wewe siunajifanya mjanja basi tukuone utakachofanya yani ata kutambulika vizuri bado kwenye mfumo ila tayari umeshaanza kunilingia!? nenda ukatafute kazi sehemu nyingine huko na matako yako hayo" nilimaliza kuisoma sms ya Kasimu.

Sikutaka kumjibu wala kumbembeleza ila nilichukua maamuzi ya kwenda nyumbani kupumzika kwa mda huku nikiitafuta njia nyingine ya kujitafuta kimaisha, Mama alishangazwa na ujio wangu wa gafra hivyo nilimwambia kuwa sio muajiriwa tena. Mama ilibidi ampgie simu dada Aisha mbele yangu nakuanza kuongea nae.
"Mama, mimi nilishangaa kumuona Fatuma akiacha kazi sehemu aliyotaftiwa na shemeji yake bira kuwa na sababu ya msingi" dada alimwambia mama aliyeshangazwa na taarifa zile maana hakuwa nazo kabisa, alijua nimefukuza kazi sehemu aliyonitaftia shemeji Rashidi.

Hakutaka kuendelea kuongea na dada zaidi ya kukata simu na kuongea.
"Fatuma dada yako alichoniambia ni cha kweli kuwa uliacha kazi mwenyewe sehemu aliyokutaftia shemeji yako!?"
"Ndio mama niukweli" nilimjibu, Mama alikasikarika zaidi hasa baada ya mimi kukataa kumwambia sababu iliyonifanya nikaacha kazi maana ilikuwa ndani ya moyo wangu.
"Utajijua mwenyewe Fatuma shemeji yako alipambana kwa ajili yako"
"Mama hujui tu ni kitu gani kilichonifanya nikaacha kazi anakofanyia shemeji" niliongea nikimwambia mama maana sikupenda kuona akiendelea kunitupia lawama.
"Kwani kuna sababu ipi ya msingi!?"

Mama baada ya kuniuliza sikutaka kumficha, nilimwambia kuwa shemeji Rashidi alinitongoza na kunitaka kimapenzi japo sikumwambia kama tayari tumeshazagamuana.
"Mmmh huo mtihani mwingine ila shemeji yako hawezi kufanya kitu kama hichi!?"
"Mama huo ndiyo ukweli ndiyo maana nilitafuta sehemu nyingine ya kazi ili niwe mbali nae lakini bahati mbaya nako mambo yameenda hovyo"
"Duh basi pole binti yangu ngoja nitaongea na dada yako" Mama alizungumza na mimi sikutaka kuona akimwambia dada kwani ndoa yake ingevunjika, shemeji Rashidi alionekana kumchoka dada yangu ndiyo maana alikuwa hamwogi ata kidogo.

Nilimshauri mama kukaa kimya na asije kumwambia dada Aisha, bahati nzuri alinielewa na aliahidi hatokumwambia dada Aisha.

Upande wa shemeji Rashidi alizipata taarifa za mimi kufukuzwa kazi hivyo alikuja mpaka nyumbani na kunikuta nikiwa pamoja na mama.
Shemeji Rashidi alianza kunitupia lawama mbele ya mama aliyekuwa kimya, uvimilivu ulimshinda mama wa kukaa kimya na baadae alimwambia shemeji.
"Fatuma kaniambia kila kitu kinachoendelea kati yenu"
"Kitu gani alichokwambia!?"Shemeji Rashidi alimuuliza.

Mama pasipo kuogopa alilopoka mbele ya Shemeji Rashidi akimwambia kuwa alikuwa akinitaka kimapenzi......ITAENDELEA

Full Tsh1000 namba za malipo ???

0613083801 HALOPESA JINA JOHN BUGUMBA

0755271203 M-PESA JINA JOHN BUGUMBA

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Mwanangu Mungu ndio anae jua
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 16

Story……………….MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 16
Mtunzi…………….SIMULIZI ZA ZOOPER
Whatsap………....0613083801/0748697173
Umri………………..18+

ENDELEA.........
Baadae nilienda kuvaa nguo zangu huku nikiwa natembea kwa shida, Kasimu alikuwa akinitazama jinsi nilivyokuwa nikipata dabu kutembea.
"Utazoea tu Fatuma mimi ndiyo show zangu hizo sina show za mchezo mchezo na hapo mtaro sijakuomba je? ningepita kwenye mtaro ungeweza kutembea kweli!?" aliongea kwa kujigamba akiniuliza lakini mimi sikutaka kuendelea kusikiliza story zake zaidi ya kuondoka.

Kasimu aliniambia kuwa huo ndiyo mwanzo tu kwani kila atakapokuwa akipata hamu ya kufanya mapenzi na mimi basi ni lazima nikubali lasivyo atanitimua kazini.

Niliondoka na nilipofika nyumbani nilikuwa sina hamu kwa kile alichokuwa amenifanyia Kasimu, nilivua nguo zangu na kuwasha feni...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/mmmmh-shemeji-hapana-16

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi mmmmh-shemeji-hapana
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 30 FINAL
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 30 FINAL
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 01
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 01
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 03
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 03
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 04
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 04
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 29
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 29
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 15
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 15
MMMMH....SHEMEJI HAPANA!!!?? 02
MMMMH....SHEMEJI HAPANA!!!?? 02
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 12
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 12
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 26
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 26
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 27
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 27
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 22
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 22
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 24 Mtunzi……………
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 24 Mtunzi……………
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 28
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 28
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 20
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 20
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 05
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 05
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 13
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 13
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 14
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 14
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? (18 & 19)
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? (18 & 19)
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 25
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 25
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 17
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 17
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 23
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 23
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 06
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 06
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 21 Mtunzi…………….SIMULIZI ZA ZOOPER
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 21 Mtunzi…………….SIMULIZI ZA ZOOPER
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 08
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 08
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 07
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 07
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 11
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 11
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 09
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 09
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 10
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 10
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMI NA SABA*

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMI NA SABA*

811
AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMI NA NANE*

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMI NA NANE*

803
AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *19&20*

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *19&20*

627
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 21 na 22

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 21 na 22

492
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* *  *16-20*

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16-20*

420
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 18

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 18

376
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 6

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 6

162
Jinsi ya kutuma pesa kutoka Safaricom Kenya kwenda Vodacom Tanzania

Jinsi ya kutuma pesa kutoka Safaricom Kenya kwenda Vodacom Tanzania

99
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 7

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 7

64
UTANIITA SHEMEJI.* *SEHEMU YA 16*

UTANIITA SHEMEJI.* *SEHEMU YA 16*

55

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.52K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.27K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.77K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.24K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.71K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.62K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

2.61K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.55K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.48K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.46K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 7 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 7
@majario LIVE

SONGA NAYO..... Hatimae ule mda wa kuwasili huyo mkaka wa kuitwa Anfrey ulifika walimpokea kwa furaha sana wazazi kama wazazi walimzawadia kijana wao gari ya milioni 80 Mimi nilikuwa kwa mbali natazama...

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *19&20* Post Mpya
AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *19&20*
@majario LIVE

Huo Ndio ukawa mwanzo Mpya wa upendo kati yangu Mimi na madam groly, Yaani mimba tu na kukaa nae Ndani ya miezi miwili tu tayali madam groly aliona utofauti wangu. Kwa...

KWAKO RUSHINE DE REUCK. Post Mpya
KWAKO RUSHINE DE REUCK.
@majario LIVE

Nikiwa kama mpenzi na shabiki mwanachama wa Simba niliyenyooka ninajikuta nina wajibu wa kusema ukweli pale panapohitajika ili kama kuna hatua za kuchukuliwa zichukuliwe mapema na mhusika kabla jambo...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 21 na 22 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 21 na 22
@majario LIVE

🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 Mwandiishi; LISSA Basi bwana rasmi tukaanza aya mahusiano bubu sasa, ambayo mimi binafsi sikuwa nimeyaafik kabisaaa, na wala sikuwa nayafurahia ata kidogo ,ila mchumba si kaamua basi powa, nikaona ngoja...

Jinsi ya kutuma pesa kutoka Safaricom Kenya kwenda Vodacom Tanzania Post Mpya
Jinsi ya kutuma pesa kutoka Safaricom Kenya kwenda Vodacom Tanzania
@majario LIVE

Kutokana na ongezeko la watumiaji wa Safaricom M-Pesa wanaohitaji kutuma pesa kwenda Vodacom M-Pesa Tanzania, nimeamua kuandika makala hii ili kuwasaidia wale ambao hawafahamu jinsi ya kufanya muamala huo. Tuma...

UTANIITA SHEMEJI.* *SEHEMU YA 16* Post Mpya
UTANIITA SHEMEJI.* *SEHEMU YA 16*
@majario LIVE

SONGA NAYO............. Zilipita dakika kadhaa nikatoka na kumfuata sebleni , akataka kuendeleza story zake nikamwambia aaah 🤚nioneshe kazi za kufanya kwanza ,kama ni maongezi baadae. Hakuwa na shida akaanza kunionesha mazingira yote...

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 6 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 6
@officialgonga LIVE

SONGA NAYO..... nilipokaribia kumfikia nilimsikia akizungumaza "Sawa baba basi wacha sie tufanye maandalizi kidogo..." Niliweza kumsikia madam akiongea hivyo, kwakuwa mimi huyu mama namuona boya sikutaka kumjali nilimpita nikaelekea chumbani lakini nikiwa katika...

Rajshree (born October 8, 1944) is one of those 60s actresses people still remember with a smile. She’s the daughter of legendary Post Mpya
Rajshree (born October 8, 1944) is one of those 60s actresses people still remember with a smile. She’s the daughter of legendary
@majario LIVE

filmmaker V. Shantaram and actress Jayshree, so films were always a part of her world. She started as a child artist in Subah Ka Tara and was later introduced as...

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* *  *16-20* Post Mpya
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16-20*
@majario LIVE

*_______________________________________* .Chapter 19&20 Tuliondoka na mume wangu kuelekea kwake. Aseee ni bonge la nyumbaa ile aliyonipa ikaanzeee kwenye parking kuna magari kam yotee, bustani kumbwa muda huo mimi nachungulia tu kwenye gari...

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMI NA NANE* Post Mpya
AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMI NA NANE*
@majario LIVE

Siku ziliendelea kwenda uku mimi na Enzo tukiendelea kukaa kwa madam groly, Yaani madam groly hakutaka kabisa nikae mbali na alikuwa akichukua uangalizi mzuri sana juu yangu Siku moja nikiwa chumbani...

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMI NA SABA* Post Mpya
AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMI NA SABA*
@majario LIVE

Enzo akanyanyuka kwenye kochi alipokuwa amekaa na kuja kuniwal na kwa shauku akaniuliza. "Ishani wewe ni mjamzito" Nikabaki nikiwashangaa tu Maana sielewi ata hiyo mimba ukibeba unajisikiaje Mimi Nipo Nipo Kama fala...

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 18 Post Mpya
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 18
@majario LIVE

Tulifanya kama tulivyoagizwa na mpenzi wangu, ila sasa kuna kitu kilibadilika jaman, yaaani haikuwa tena wiki moja alikaaa kule zaidi ya miezi miwilii tena bila mawasiliano hili lilitupa mawazo sana...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 19.na 20 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 19.na 20
@majario LIVE

Nikasema zena kweli ,na wew unafeel kama vile ambavyo mm nafeel acha masihara basi, akanambia lakini millan ,mi wewe sikujuhi vizur, ndo mana nilikuwa nataka mda kwanza wa kukufahamu ,nisije...

BLACK BUTTERFLY 🦋 5 Post Mpya
BLACK BUTTERFLY 🦋 5
@majario LIVE

By Babie Love Tsap 0742133100 ENDELEAAA “ Brayton..” Camilla alijikuta akimuita bila kutarajiaa Brayton alimsogeleaa na kumuonyeshaa zile picha vizur tu kwenye simu yakee huku akimuulizaa “ Unawezaa kuniambia hiki nini?!?” Camilla alishangaa kwa...

Some Bollywood families just have that star vibe, and Dimple Kapadia and her daughters are a perfect example Post Mpya
Some Bollywood families just have that star vibe, and Dimple Kapadia and her daughters are a perfect example
@majario LIVE

. Dimple became a sensation with Bobby, and the same year she married superstar Rajesh Khanna. She was only 16 when she got married and became a mom at 17...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest