Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 17
Gonga94 · Stories

MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 17

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
Story……………….MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 17
Mtunzi…………….SIMULIZI ZA ZOOPER
Whatsap………....0613083801/0748697173
Umri………………..18+

ENDELEA.........
Shemeji Rashidi alikaa kimya kwa mda na baadae aliongea.
"Ni kweli kabisa nilimtaka Fatuma niwe muwazi kwako mama, kuna sababu zilizonifanya nimtake Fatuma licha ya kuwa nimemuoa ndugu yake" Shemeji Rashidi aliongea mbele ya mama pasipo kuwa na aibu.

Hiyo siku ndiyo niliamini kwenye hii dunia kuna watu wanaojiamini, Shemeji Rashidi pia ni mmoja wao kwani alikuwa akijiamini mbele ya mama labda kwakuwa alikuwa ni mwanamke maana ndiye mzazi pekee tuliyekuwa nae.

Mama alimuuliza sababu iliyomfanya atake kutoka na mimi kimapenzi na shemeji Rashidi alimwambia ni kwa sababu ya dada Aisha kutokushika mimba.
"Lakini hiyo ni mipango ya mungu!, hakukuwa na sababu ya kumtaka mdogo wake"
"Mama, mimi niliona bora nitembee na Fatuma na nizae kwenye familia hii kuliko kwenda kuzaa nje ya ndoa, huu ni mwaka wa tano sasa ivi Aisha hana dalili za kushika ujauzito" Shemeji Rashidi aliongea ila baadae mama alimuuliza.
"Wewe si doctor kwani unashindwa kujua mwanamke wako anasumbuliwa na tatizo gani!?"
"Nimejaribu kumwangalia ila sijaona tatizo lolote lile na kama huu mwaka hatashika mimba basi nitamrudisha nyumbani na kuoa mwanamke mwingine ata hivyo dini yangu inaniruhusu kuoa mwanamke mwingine" Shemeji Rashidi aliongea.
"Huko unaenda mbali mwanangu kwanini usiwe na subira tu, mtoto ni majaliwa na mkeo atashika ujauzito ila sio kutembea na shemeji yako!, kama angepata mimba wewe ungeilea hiyo mimba!?" mama alimuuliza shemeji Rashidi na alimjibu kuwa angeilea na sio kuilea tu angekubali kuitwa baba.

Mama aliona kama shemeji Rashidi kalukwa na akili hivyo alimwambia aondoke nyumbani kwetu akajifikirie upya kuhusu kile alichokisema, shemeji Rashidi aliondoka hivyo tulibaki wawili mimi pamoja na mama.
"Fatuma ivi huyu shemeji yako ana akili kweli!?"
"Nazani umejionea mwenyewe mama"
"Mbona Aisha ni binti mzuri tu kisura na huenda anakuzidi mpaka wewe kwanini asitulie na mwanangu akamvumilia! au jogoo wake hapandi mtungi vizuri ndiyo maana kashindwa kumpa mimba dada yako!?" Mama aliongea bira kujua kama jogoo wa shemeji Rashidi anapanda mtungi maana shahidi ni mimi mwenyewe sema niliamua kukaa na siri hiyo moyoni pasipo kumshirikisha.
"Sifahamu mama labda umuulize Aisha mwenyewe" nilimjibu na baadae mama alichukua simu yake na kumpigia dada Aisha akimtaka aje nyumbani.

Kwakuwa kulikuwa na kaumbali kutoka nyumbani kwetu mpaka alipokuwa akiishi dada Aisha pamoja na mme wake siku hiyo hakuja na siku iliyofata mida ya asubuhi na mapema dada Aisha alifika nyumbani na mama alimuuliza.
"Aisha mme wako analalamika kuwa unachelewa kushika ujauzito, unaweza kuniambia ni kitu gani kinachochelewesha!?"
"Mama mimi kiukweli sijui labda mda bado haujafika tu ila hamna mwenye tatizo kati yetu" dada Aisha alimjibu wakati huo mimi nilikuwa ni msikilizaji wa maongezi yao.
"Usinifiche mwanangu sema kama mme wako jogoo wake hapandi mtungi tuangalie namna ya kumsaidie"
"Wala!! yupo vizuri tu kwenye mambo hayo mama hana tatizo lolote lile" dada Aisha alimjibu na baada ya mda aliondoka.

Nilikaa nyumbani kwa siku kadhaa, maisha yangu yalianza kurudi nyuma kwa kasi kwani ata cent sikuwa nayo, Nilitoka nyumbani na kurudi kwenye nyumba niliyokuwa nimepanga na hapo ndipo kasheshe nyingine ilipoanzia kwani mpaka ile hela ya kula nilikuwa nakoswa.
"Mmmh sio kwa ugumu huu wa maisha hapa inatakiwa nifanye kitu tu!" niliongea mwenyewe huku nikipiga miayo kutokana na njaa niliyokuwa nayo, wanasema ukitaka kumuua nyani usimwangalie usoni.

Ugumu wa maisha ulinifanya niwaze kuwa na kazi na sio undugu tena hivyo nilimtumia ujumbe shemeji Rashidi nikiomba msaada wa kunitaftia kazi, niliona bora kumtafta shemeji Rashidi kuliko Kasimu maana mziki wa Kasimu hapana kwakweli! yule anakomesha kwenye kufanya mapenzi.

Shemeji Rashidi siku hiyo hakujibu ujumbe wangu na siku hiyo nililala njaa, asubuhi na mapema niliamka nikiwa na njaa nakuamua kwenda kwa dada Aisha huku lengo likiwa nikupata kifungua kinywa nikiwa huko. Nilimkuta Aisha peke yake na shemeji Rashidi alikuwa ameshaenda kazini.
"Mbona leo asubuhi ivi mdogo wangu!?" Dada Aisha aliniuliza na mimi pasipo kumficha nilimwambia ukweli kuwa usiku uliopita sikula.
"Duh wewe mjinga kweli dada yako niko hapa na shemeji yako yupo unashindwa kutujulisha!?" Dada aliongea kwa kulalamika, kutwa nzima nilishinda nyumbani kwake hiyo siku na nilipotaka kurudi nyumbani kwangu dada alinizuia na kuniambia natakiwa nimsubiri shemeji Rashidi aje kwa ajili ya kufanya nae maongezi.

Mda ulisogea na baadae Shemeji Rashidi alifika, alinitazama pasipo kuongea chochote na baadae walichukuana yeye pamoja na dada na kupelekana chumbani. sikujua ni mambo gani waliyoenda kuongea ila baadae waliporudi dada aliniambia kuwa natakiwa kulala nyumbani kwake na nilipomuuliza hakutaka kuniambia sababu.

Mda wa kulala ulifika hivyo nilienda kwenye chumba alichonielekeza kwa ajili ya kulala, nikiwa bado nautafuta usingizi ujumbe wa shemeji Rashidi uliingia kwenye simu yangu ukiniambia.
"Fatuma dada yako kanisimulia kila nipo tayari kukutafutia kazi kwa mara nyingine" niliusoma ujumbe na baadae niliamua kumjibu kwa kuandika "nitashukuru sana kama utanisaidia"
Baada ya kumjibu nilitaka kuitupa simu pembeni ya kitanda ili nilale lakini kuna sms iliingia ya muamala.

Niliifungua kwa ajili ya kuisoma, sikuamini baada ya kuona pesa imetumwa huku namba ya mtumaji ikiwa ni namba ya shemeji Rashidi.
"Hiyo ni kwa ajili yako Fatuma, usifunge mlango usiku nakuja kulala" shemeji Rashidi alinitumia ujumbe na mimi mapigo ya moyo yalianza kwenda mbio......ITAENDELEA.

Full Tsh1000 namba za malipo ???

0613083801 HALOPESA JINA JOHN BUGUMBA

0755271203 M-PESA JINA JOHN BUGUMBA

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Enzi zetu
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 17

Story……………….MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 17
Mtunzi…………….SIMULIZI ZA ZOOPER
Whatsap………....0613083801/0748697173
Umri………………..18+

ENDELEA.........
Shemeji Rashidi alikaa kimya kwa mda na baadae aliongea.
"Ni kweli kabisa nilimtaka Fatuma niwe muwazi kwako mama, kuna sababu zilizonifanya nimtake Fatuma licha ya kuwa nimemuoa ndugu yake" Shemeji Rashidi aliongea mbele ya mama pasipo kuwa na aibu.

Hiyo siku ndiyo niliamini kwenye hii dunia kuna watu wanaojiamini, Shemeji Rashidi pia ni mmoja wao kwani alikuwa akijiamini mbele ya mama labda kwakuwa alikuwa ni mwanamke maana ndiye mzazi pekee tuliyekuwa nae.

Mama alimuuliza sababu iliyomfanya atake kutoka na mimi kimapenzi na shemeji Rashidi alimwambia ni kwa sababu ya dada Aisha kutokushika mimba.
"Lakini hiyo ni mipango ya...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/mmmmh-shemeji-hapana-17

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi mmmmh-shemeji-hapana
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 30 FINAL
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 30 FINAL
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 01
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 01
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 03
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 03
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 04
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 04
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 29
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 29
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 15
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 15
MMMMH....SHEMEJI HAPANA!!!?? 02
MMMMH....SHEMEJI HAPANA!!!?? 02
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 12
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 12
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 27
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 27
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 26
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 26
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 22
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 22
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 24 Mtunzi……………
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 24 Mtunzi……………
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 28
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 28
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 20
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 20
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 16
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 16
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 05
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 05
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 13
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 13
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 14
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 14
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? (18 & 19)
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? (18 & 19)
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 25
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 25
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 06
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 06
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 23
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 23
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 21 Mtunzi…………….SIMULIZI ZA ZOOPER
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 21 Mtunzi…………….SIMULIZI ZA ZOOPER
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 08
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 08
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 07
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 07
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 11
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 11
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 09
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 09
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 10
MMMMH...SHEMEJI HAPANA!!!?? 10
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMI NA SABA*

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMI NA SABA*

812
AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMI NA NANE*

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMI NA NANE*

805
AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *19&20*

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *19&20*

634
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 21 na 22

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 21 na 22

500
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* *  *16-20*

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16-20*

420
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 18

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 18

376
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 6

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 6

164
Jinsi ya kutuma pesa kutoka Safaricom Kenya kwenda Vodacom Tanzania

Jinsi ya kutuma pesa kutoka Safaricom Kenya kwenda Vodacom Tanzania

99
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 7

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 7

65
UTANIITA SHEMEJI.* *SEHEMU YA 16*

UTANIITA SHEMEJI.* *SEHEMU YA 16*

56

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.52K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.27K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.77K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.24K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.71K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.62K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

2.61K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.55K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.48K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.46K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 7 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 7
@majario LIVE

SONGA NAYO..... Hatimae ule mda wa kuwasili huyo mkaka wa kuitwa Anfrey ulifika walimpokea kwa furaha sana wazazi kama wazazi walimzawadia kijana wao gari ya milioni 80 Mimi nilikuwa kwa mbali natazama...

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *19&20* Post Mpya
AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *19&20*
@majario LIVE

Huo Ndio ukawa mwanzo Mpya wa upendo kati yangu Mimi na madam groly, Yaani mimba tu na kukaa nae Ndani ya miezi miwili tu tayali madam groly aliona utofauti wangu. Kwa...

KWAKO RUSHINE DE REUCK. Post Mpya
KWAKO RUSHINE DE REUCK.
@majario LIVE

Nikiwa kama mpenzi na shabiki mwanachama wa Simba niliyenyooka ninajikuta nina wajibu wa kusema ukweli pale panapohitajika ili kama kuna hatua za kuchukuliwa zichukuliwe mapema na mhusika kabla jambo...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 21 na 22 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 21 na 22
@majario LIVE

🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 Mwandiishi; LISSA Basi bwana rasmi tukaanza aya mahusiano bubu sasa, ambayo mimi binafsi sikuwa nimeyaafik kabisaaa, na wala sikuwa nayafurahia ata kidogo ,ila mchumba si kaamua basi powa, nikaona ngoja...

Jinsi ya kutuma pesa kutoka Safaricom Kenya kwenda Vodacom Tanzania Post Mpya
Jinsi ya kutuma pesa kutoka Safaricom Kenya kwenda Vodacom Tanzania
@majario LIVE

Kutokana na ongezeko la watumiaji wa Safaricom M-Pesa wanaohitaji kutuma pesa kwenda Vodacom M-Pesa Tanzania, nimeamua kuandika makala hii ili kuwasaidia wale ambao hawafahamu jinsi ya kufanya muamala huo. Tuma...

UTANIITA SHEMEJI.* *SEHEMU YA 16* Post Mpya
UTANIITA SHEMEJI.* *SEHEMU YA 16*
@majario LIVE

SONGA NAYO............. Zilipita dakika kadhaa nikatoka na kumfuata sebleni , akataka kuendeleza story zake nikamwambia aaah 🤚nioneshe kazi za kufanya kwanza ,kama ni maongezi baadae. Hakuwa na shida akaanza kunionesha mazingira yote...

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 6 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 6
@officialgonga LIVE

SONGA NAYO..... nilipokaribia kumfikia nilimsikia akizungumaza "Sawa baba basi wacha sie tufanye maandalizi kidogo..." Niliweza kumsikia madam akiongea hivyo, kwakuwa mimi huyu mama namuona boya sikutaka kumjali nilimpita nikaelekea chumbani lakini nikiwa katika...

Rajshree (born October 8, 1944) is one of those 60s actresses people still remember with a smile. She’s the daughter of legendary Post Mpya
Rajshree (born October 8, 1944) is one of those 60s actresses people still remember with a smile. She’s the daughter of legendary
@majario LIVE

filmmaker V. Shantaram and actress Jayshree, so films were always a part of her world. She started as a child artist in Subah Ka Tara and was later introduced as...

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* *  *16-20* Post Mpya
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16-20*
@majario LIVE

*_______________________________________* .Chapter 19&20 Tuliondoka na mume wangu kuelekea kwake. Aseee ni bonge la nyumbaa ile aliyonipa ikaanzeee kwenye parking kuna magari kam yotee, bustani kumbwa muda huo mimi nachungulia tu kwenye gari...

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMI NA NANE* Post Mpya
AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMI NA NANE*
@majario LIVE

Siku ziliendelea kwenda uku mimi na Enzo tukiendelea kukaa kwa madam groly, Yaani madam groly hakutaka kabisa nikae mbali na alikuwa akichukua uangalizi mzuri sana juu yangu Siku moja nikiwa chumbani...

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMI NA SABA* Post Mpya
AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMI NA SABA*
@majario LIVE

Enzo akanyanyuka kwenye kochi alipokuwa amekaa na kuja kuniwal na kwa shauku akaniuliza. "Ishani wewe ni mjamzito" Nikabaki nikiwashangaa tu Maana sielewi ata hiyo mimba ukibeba unajisikiaje Mimi Nipo Nipo Kama fala...

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 18 Post Mpya
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 18
@majario LIVE

Tulifanya kama tulivyoagizwa na mpenzi wangu, ila sasa kuna kitu kilibadilika jaman, yaaani haikuwa tena wiki moja alikaaa kule zaidi ya miezi miwilii tena bila mawasiliano hili lilitupa mawazo sana...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 19.na 20 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 19.na 20
@majario LIVE

Nikasema zena kweli ,na wew unafeel kama vile ambavyo mm nafeel acha masihara basi, akanambia lakini millan ,mi wewe sikujuhi vizur, ndo mana nilikuwa nataka mda kwanza wa kukufahamu ,nisije...

BLACK BUTTERFLY 🦋 5 Post Mpya
BLACK BUTTERFLY 🦋 5
@majario LIVE

By Babie Love Tsap 0742133100 ENDELEAAA “ Brayton..” Camilla alijikuta akimuita bila kutarajiaa Brayton alimsogeleaa na kumuonyeshaa zile picha vizur tu kwenye simu yakee huku akimuulizaa “ Unawezaa kuniambia hiki nini?!?” Camilla alishangaa kwa...

Some Bollywood families just have that star vibe, and Dimple Kapadia and her daughters are a perfect example Post Mpya
Some Bollywood families just have that star vibe, and Dimple Kapadia and her daughters are a perfect example
@majario LIVE

. Dimple became a sensation with Bobby, and the same year she married superstar Rajesh Khanna. She was only 16 when she got married and became a mom at 17...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest