Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya β Gonga94 Semajambo
Gonga94 Β· Stories
25 Aug 2025
73 views
VYOTE NDANI GONGA94
KATOTO KA FORM FOUR Episode 1
Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
Kelvin alifika kwenye geti la Maramba Secondary School asubuhi yenye upepo mzuri wa bahari, akiwahisi wanafunzi wakipita pembeni yake wakiwa wamevalia sare zao za kijani na kahawia. Akiwa amejawa na matumaini na hamu ya kuanza kazi yake mpya, aliendelea mbele hadi ofisi ya mkuu wa shule, ambapo alipokelewa kwa tabasamu na Mwalimu Samuel, mkuu wa shule.
Mwalimu Samuel alimkaribisha Kelvin
rasmi, akimwonyesha maeneo muhimu ya shule hiyo na kumweleza taratibu zote za Maramba. Asubuhi hiyo ilipofika saa 1:30, kengere iligongwa na wanafunzi walikusanyika uwanjani kwa ibada ya asubuhi. Baada ya salamu rasmi, Kelvin alipata nafasi ya kujitambulisha mbele ya wanafunzi.
"Naitwa Kelvin, mwalimu mpya wa Baiolojia. Natarajia tutashirikiana kwa karibu katika safari yetu ya elimu," alisema kwa tabasamu na sauti ya kujiamini. Wanafunzi walimwangalia kwa makini, wakisikiliza kwa utulivu.
Baada ya siku mbili za kufundisha, Kelvin alipewa jukumu la kusimamia usafi wa shule kabla wanafunzi hawajaruhusiwa kuondoka. Wakati akisubiri wanafunzi kumaliza shughuli zao, aliwaangalia wakiendelea na shughuli zao, lakini macho yake yakatumbukia kwenye tukio moja la kushangaza. Aliona mwanafunzi mmoja akinywa maji akiwa ndani ya maabara, jambo ambalo lilimkera.
"Kwa nini unakunywa maji maabara?" aliuliza kwa sauti ya hasira huku
akimkaribia yule mwanafunzi. Huyu
mwanafunzi alikuwa amempa mgongo, na Kelvin hakuweza kuona sura yake.
Mwanafunzi huyo aligeuka taratibu, na Kelvin aliduwaa kwa mshangao. Mbele yake alisimama msichana aliyekuwa amevaa hijabu ya rangi ya nyeupe iliyomfunika kichwa chake kizuri. Macho yake makubwa na yenye rangi ya kahawia yalikuwa yamejawa na woga, huku uso wake ukiwa na rangi nyepesi iliyokuwa ikingβaa kama vile mionzi ya jua la asubuhi. Hijabu yake iliongeza mvuto wa kipekee, ikimpa taswira ya msichana mwenye heshima na staha.
Kelvin alijikuta amezama katika mawazo ya uzuri wake wa asili, hali ilyofanya tukio la kugeuka lijirudie rudie kichwani kwa kelvin pia akihisi moyo wake ukidunda kwa kasi isiyoeleweka.
"Mwalimu... samahani..." msichana huyo alizungumza kwa sauti ndogo na ya aibu. "Nitakuwa mwangalifu siku nyingine."
Kelvin alirudi katika hali yake baada ya kuzama kwenye mawazo. Akajitutumua
na kumwangalia kwa utulivu. "Ah...
usijali... unaitwa nani?"
"Naitwa Briana," alijibu kwa sauti ya aibu, macho yake yakionyesha hofu ya kumkasirisha mwalimu.
"Sawa, Briana. Unaweza kwenda kipindi sasa," Kelvin alisema kwa sauti ya upole, huku akijaribu kuzuia mawazo yake yasizame zaidi. Lakini macho yake yalibaki yameganda kwa Briana, akiangalia jinsi alivyoondoka kwa adabu na utulivu, hijabu yake ikipepea kwa uzuri wa asili.
Wakati Briana alipokuwa anaondoka, Kelvin alihisi hisia za mchanganyiko zikimvaa. Hakuelewa ni kwa nini uzuri wa msichana huyu ulimgusa kwa namna hiyo, lakini alikuwa anajua jambo mojaβBriana ni mwanafunzi wake kwa nini ahisi hivyo kasoma chuo kamaliza kakuta na wasichana wazuri wenye mashepu weupe warembo lakini wote hawajawahi kumgusa kama briana
Maoni
You're not logged in
X
Login
X
signup
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa
+ Endelea kugundua zaidi
MIMI SIKUACHIπ₯°* *SEASON TWO* *SEHEMU YA 41*
Daaaah alex akanmbia pole sana kaka. Najua inaumiza sana najua mnoo. Ila ndo ukweli. Mi siwez acha damu yangu. Na ndo m...
MIMI SIKUACHIπ₯° 24 MPAKA 25 ( MWISHO WA SEASON 1)
π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘ Sehemu ya 24 Basi bwana nakumbuka nilikaaa uku nyumbani week.2...
Kelvin alifika kwenye geti la Maramba Secondary School asubuhi yenye upepo mzuri wa bahari, akiwahisi wanafunzi wakipita pembeni yake wakiwa wamevalia sare zao za kijani na kahawia. Akiwa amejawa na matumaini na hamu ya kuanza kazi yake mpya, aliendelea mbele hadi ofisi ya mkuu wa shule, ambapo alipokelewa kwa tabasamu na Mwalimu Samuel, mkuu wa shule.
Mwalimu Samuel alimkaribisha Kelvin
rasmi, akimwonyesha maeneo muhimu ya shule hiyo na kumweleza taratibu zote za Maramba. Asubuhi hiyo ilipofika saa 1:30, kengere iligongwa na wanafunzi walikusanyika uwanjani kwa ibada ya asubuhi. Baada ya salamu rasmi, Kelvin alipata nafasi ya kujitambulisha mbele ya wanafunzi.
"Naitwa Kelvin, mwalimu...
π Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/katoto-ka-form-four-episode-1
Maoni