Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

🎙️ WALIMWOZESHA NA CHIZI KUMBE NI TAJIRI!(Part 5)
Gonga94 · Stories

🎙️ WALIMWOZESHA NA CHIZI KUMBE NI TAJIRI!(Part 5)

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.

ILIPOISHIA...,

Lakini hata hiyo, Vero alikua msichana mwenye moyo wa huruma kidogo ukilinganisha na mama yake ambaye alizidi ugaidi!,

Vero akawmambia mama yake kwamba,
"ila mama!, unaonaje tukiachana tu na dada Turi, maana , sasahivi tumepata pesa, tukaanza hata biashara ya mama nitilie,
kuriko kumfuatilia mtu ambaye Kila kukicha mungu anambariki yeye tu!?".

ila maneno hayo yaliyojawa na busara na ukomavu wa fikra kutoka kwa Vero, yalionekana kama takataka tu mbele ya Mama Vero!,
maana alimshushia Vero maneno yasiyo ya kawaida kana kwamba hakumzaa yeye mwenyewe! ,
" na wewe mwendawazimu mkubwa nisikilize kwa makini ,
sijui umetoroka uchawini wewe, eti dada dada dada...!, unamjua wewe yule Binti!?, yani mimi nataka nikupambanie unaniletea ujuaji hapa!,".

Vero akamjibu Mama yake kwa uwoga Mkubwa,
" basi mama nisamehe bure, sirudii tena".

Asubuhi ya siku iliyofuata, Mama Vero hakutaka kulaza damu!, akaamua kufuatana na mwanaye Vero na kuelekea kwa mganga.

Na baada ya kuwasili kwa mganga, walikaribishwa na kuingia hadi ndani, mganga akamuuliza mama Vero kwamba,
"tawile tawile tawileee...!, karibu mama, eleza shida yako iliyokuleta , hapa ndio kwa mganga tekero, lolote linawezekana, ahahahaaaahaa!".

Mama Vero akamjibu mganga huyo akisema,
" Ahsante Babu!, mimi shida yangu naomba yule Binti Turi asiolewe na yule mume anayetaka kumuoa,
Bali, mwanaume huyo amuoe mwanangu Vero,

ukifanikiwa hilo babu nitakupa pesa ndefu sana hutoamini maishani mwako Yani,
maana Mtoto jeuri Sana yule na anamajivuno sana...!,
eti anathubutu kuniambia mimi ni mbaya ndo maana siolewi hadi leo tangu alipofariki baba yake Loooh!".

Mganga akasema," kwahiyo wewe unataka tumfanyeje!?,
tumuondoe kabisa ?, au tumtie utahila au tumnyang'anye mume?!".

Ghafla!, Vero akadakia na kusema ,
" mganga kwakweli mimi binafsi naomba tu umnyang'anye mume tu basi!, wala usimfanye chochote kibaya tafadhari babu!",

Mama Vero naye kama kawaida Yake hana dogo, akamjibu mwanaye kabla ya mganga, ' heee!,
hii dunia ina watoto matahila kweli !, yani jitu tunalipambania, ila mawazo Yake ya kitoto toto tu...!".

Kwa bahati nzuri!, Babu akakubariana na wazo la Vero la kumyang'anya Turi mume, Kisha Babu huyo mganga akatoa dawa iliyoviringishiwa kwenye karatasi nyeupe na kumpatia Mama Vero, na kusema ,

" nisikilize Kwa makini Sana juu ya masharti ya dawa hii, ukikosea tu kila kitu kitakuwa ovyo Sana!,
utamuita Turi aje nyumbani kwako,

kabla ya siku atakayoondoka kwenda mjini na utaiweka dawa hii kwenye maji na utampa anywe na mumewe ataanza kumpenda Vero hapohapo, nadhani tumeelewana ”.

Baada ya Mama Vero kurudi kutoka kwa mganga, kwenye mida ya jioni akampigia Turi kwa bashasha huku akijikosha na kujichekesha kama chizi aliyeona jalala jipya! ,, akasema,"

halooo..!, Turi mwanangu, kuna usia wa Baba Yako aliacha kuhusu mali zako za urithi , maana kama unavyojua Vero yeye ni mwanaye wa kufikia tu, kwahiyo, naomba uje ili ukabidhiwe kila kitu".

Turi naye akajibu kwa furaha tu, akisema" Sawa mama , ngoja nifanye upesi hapa".

Maana,kwa hakika Baba Yake aliacha Mali nyingi Sana ikiwemo ,
viwanja na mashamba pamoja na nyumba ambayo Vero, Turi na mama Yao walikuwa wanaishi wote.

Turi alimuomba mumewe Amani juu ya safari hiyo na Amani hakuleta kipingamizi kabisa maana alikuwa anamuheshimu vizuri tu kama mama mkwe...!,

ITAENDELEA...,
JE WAJUA kwamba unaweza kukamata sms za mwenza wako anazochart na watu wake na ukazipata kupitia simu yako bila yeye kujua

Kwa huduma ya sms tracking ncheki whatsapp 0710204647 nkuunge kwenye group letu

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Mwanangu Mungu ndio anae jua
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

🎙️ WALIMWOZESHA NA CHIZI KUMBE NI TAJIRI!(Part 5)


ILIPOISHIA...,

Lakini hata hiyo, Vero alikua msichana mwenye moyo wa huruma kidogo ukilinganisha na mama yake ambaye alizidi ugaidi!,

Vero akawmambia mama yake kwamba,
"ila mama!, unaonaje tukiachana tu na dada Turi, maana , sasahivi tumepata pesa, tukaanza hata biashara ya mama nitilie,
kuriko kumfuatilia mtu ambaye Kila kukicha mungu anambariki yeye tu!?".

ila maneno hayo yaliyojawa na busara na ukomavu wa fikra kutoka kwa Vero, yalionekana kama takataka tu mbele ya Mama Vero!,
maana alimshushia Vero maneno yasiyo ya kawaida kana kwamba hakumzaa yeye mwenyewe! ,
" na wewe mwendawazimu mkubwa nisikilize kwa makini ,
sijui umetoroka uchawini wewe, eti dada dada...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/walimwozesha-na-chizi-kumbe-ni-tajiri-part-5

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi walimwozesha-na-chizi-kumbe-ni-tajiri-part
🎙️ WALIMWOZESHA NA CHIZI KUMBE NI TAJIRI!(Part 4)
🎙️ WALIMWOZESHA NA CHIZI KUMBE NI TAJIRI!(Part 4)
🎙️ WALIMWOZESHA NA CHIZI KUMBE NI TAJIRI! (Part 3)
🎙️ WALIMWOZESHA NA CHIZI KUMBE NI TAJIRI! (Part 3)
🎙️ WALIMWOZESHA NA CHIZI KUMBE NI TAJIRI! ( Part 6)
🎙️ WALIMWOZESHA NA CHIZI KUMBE NI TAJIRI! ( Part 6)
🎙️ WALIMWOZESHA NA CHIZI KUMBE NI TAJIRI! (Part1)
🎙️ WALIMWOZESHA NA CHIZI KUMBE NI TAJIRI! (Part1)
🎙️WALIMWOZESHA NA CHIZI KUMBE NI TAJIRI! (Part 2)
🎙️WALIMWOZESHA NA CHIZI KUMBE NI TAJIRI! (Part 2)
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AAAAASH BOSS ENZO* *16&17*

AAAAASH BOSS ENZO* *16&17*

577
AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMI NANE*

AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMI NANE*

500
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 17

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 17

251
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 18

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 18

231
WEWE NI WANGU    SEHEMU YA 19

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 19

228
AAAAASH BOSS ENZO*    *SEHEMU YA KUMU NA TISA*

AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMU NA TISA*

225
REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NANE*

REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NANE*

224
REALLY LOVE* *29&30*

REALLY LOVE* *29&30*

140
SHAMIRA 1 mpk 7.

SHAMIRA 1 mpk 7.

112
WEWE NI WANGU   SEHEMU YA 21

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 21

84

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.3K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.05K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.72K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.14K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.55K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.44K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.36K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.35K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.29K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.2K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
PENZI LA OMBA OMBA😍❤️😍❤️😍❤️ Sehemu ya 11 Post Mpya
PENZI LA OMBA OMBA😍❤️😍❤️😍❤️ Sehemu ya 11
@majario LIVE

“hivi una shida gani wewe, kwanin I hutaki kuniona na mm ninafuraha, kwann hutaki mimi niwe na mahusiano lakin shureymu, nikaanza kulalamika… “ mm sijakuzuia kuwa na mahusiano ila Yule...

PENZI LA OMBA OMBA 10 Post Mpya
PENZI LA OMBA OMBA 10
@majario LIVE

“ zamu yako kufanya nini, maana siku hizi umekuja na tabia sizielewi kabisa, nikasema, akaniangalia kisha akacheka na kusema “ najua wewe huelewag ila usijal mdogo mdogo utaelewa...

PENZI LA OMBA OMBA😍❤️😍❤️😍❤️ Sehemu ya 09 Post Mpya
PENZI LA OMBA OMBA😍❤️😍❤️😍❤️ Sehemu ya 09
@majario LIVE

KIUKWELI nilishangaa sana, kwa maana sikujua ni kitu gani kilikuwa kimempa hasira shureymu kiasi chote kile, kuna muda nikawa nahisi labda simtendei anayoyataka vizuri, sijui hata nilikuwa na wasiwasi...

PENZI LA OMBA OMBA😍❤️😍❤️😍❤️ Sehemu ya 08 Post Mpya
PENZI LA OMBA OMBA😍❤️😍❤️😍❤️ Sehemu ya 08
@majario LIVE

Nilishangaa sana anashida gani, kwa maana alishasema mara kadhaa kuwa hawez kuwa na mahusiano na mimi na kila dakika ni warda, warda, sasa mbona yuko kama ananionea wivu hivi…. Bsikutaka kuendelea...

*PENZI LA OMBA OMBA* *1&7* Post Mpya
*PENZI LA OMBA OMBA* *1&7*
@majario LIVE

*__________________________________* *SEHEMU YA KWANZA* Sio kila unaemkuta anaomba amependa, na sio kila omba omba ni mvivu na hataki kufanya kazi, muda mwingine huwa tunakosa namna ya kufanya ndio maana tunaomba, ni...

SHAMIRA sehemu ya 13&14 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 13&14
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Kiukweli uyu baba alikuwa anajua kunipemdezesha mana pesa alikuwa ananipa mno. Na Nilipendeza sana nikawa navaa vitu vya bei nawaka mda wote sina shida ndogo...

Robert Carmona ndiye mwanasoka mkongwe zaidi anayecheza soka... Post Mpya
Robert Carmona ndiye mwanasoka mkongwe zaidi anayecheza soka...
@majario LIVE

Ana umri wa miaka 63 na anacheza safu ya ulinzi, alianza kucheza mpira mnamo mwaka 1976 na amechezea zaidi ya vilabu 30 Kwa sasa anachezea Klabu ya Liffa ya Uruguay inayoshiriki...

FROM BANGI TO BABY 💞💘  SEHEMU YA 10 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 10
@majario LIVE

Veda huyu akatokeza nilikwepa macho fastaaa nikaangalia mbinguu, Tinner akanambia kwa sauti ya chiniii "Kumbe shem sio haba nilikuwa sijamzingatia tu bonge la mwanaume jamani "Nikashindwa kuvumilia ila nikajikaza kuchekaa sikujibu kitu...

WEWE NI WANGU   SEHEMU YA 21 Post Mpya
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 21
@majario LIVE

SONGA NAYO........ Hatimae mke wangu alijifungua baby boy, 🥰 nyieeh hivi mnajua nilikuwa na furaha kiasi gani eeh yani iku hii mwanaume nilifanya kaazi mpaka ambazo nilikuwa sifanyi. Kwanza niliingia jikoni nikapika...

AAAAASH BOSS ENZO*    *SEHEMU YA KUMU NA TISA* Post Mpya
AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMU NA TISA*
@majario LIVE

Ishani Mimi nililia sana, lakini safari hii nililia tu kimya kimya sikutaka kusumbua watu wengine kwaajili ya matatizo yangu binafsi ambayo kwa Namna Moja au nyingine nilijitakia Mimi Mwenyewe Baba ya...

REALLY LOVE* *29&30* Post Mpya
REALLY LOVE* *29&30*
@majario LIVE

*mbona hupokei simu nani huyo anayepiga aliuliza fahima baad ya kuona seven anaingalia. tu simu bila kupokea sevan si nakuuliza nani huyo alisema fahima ni cathe na sijui anataka nini tena kwangu"...

REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NANE* Post Mpya
REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NANE*
@majario LIVE

cathe alisogea mpaka walipo hapo alishindwa hata kusalimia kiukweli alichanganyikiwa sana hakujua nini hatma ya maisha yake, ""kaa hapo" alisema baba cathe, nae cathe akaketi kwenye kiti ""baba yako amekuja kukuchukua cathe...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 10. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 10.
@majario LIVE

Kipande cha 10 🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼 Mwandishi; lissa wa huru media Basi jioni sana taratibu nikaludi zangu home.. mnazani iyo simu niliiiacha kwa adrian wala sio kweli mimi simu wala sikuiacha. Nikaludi nayo...

NILILETEWA MFANYAKAZI KUTOKA KIJIJINI 1--2 Post Mpya
NILILETEWA MFANYAKAZI KUTOKA KIJIJINI 1--2
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 ANZA NAYO SASA....... Ndugu zangu, dada zangu mama zangu na watu wangu kwa ujumla kwanza kabisa nianze na funzo hasa hasa kwa hawa wanawake wanaopenda sana wadada wa kazi Jamni...

WEWE NI WANGU    SEHEMU YA 19 Post Mpya
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 19
@majario LIVE

SONGA NAYO...... Muda ulienda na sikupata wasaa wa kuzungumza na mama maana alikuwa hataki kusikia chochote kutoka kwangu, so niliona nimsubiri dada yeye ndie anaweza kuwa msaaada wangu Hatiame muda wa dada...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest